Kuzuiwa Lissu, habari na Propaganda CHADEMA mko wapi?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,889
35,901
Habari za mwisho tokea eneo la tukio kumhusu mwamba huyu nguli wa siasa:


"Yeye na wenziwe walikuwa wamefunga njia. Hapiti mtu kwani hata hao wamezuiwa isivyo halali."

Sasa kitengo chetu cha habari na propaganda kipo kimyaaa ...!

Nini kinaendea eneo la tukio? Sisi tulioko Lindi, Tarime au Misenyi huku tunajuaje kinachoendelea huko?

"Hata tunajipanga au kuhamasishana vipi kutoa support yetu yoyote tukiwa kwenye giza la habari hili?"

Kwamba hawa ndugu labda na wao walipo hawana habari zozote kama kina sisi tu?

Uimara wa wapiganaji waliodhamiria, hauwezi kutenganishwa na uwezo wao wa kupata na kusambaza habari.

Huu si ndiyo ulikuwa ule muda wa zile ID zao au rasmi kwenye social media zote kurindima?

Ajabu na kweli labda wako kwenye kuendeleza yale makasiriko yetu tuliyoyazowea dhidi ya TBC au Channel 10 kutokutangaza?

Ama hakika kufika tutafika, ila tutakuwa tumechoka sana.
 
si walishafanya kazi yao tena vizuri sana jana.

walisema huyo jamaa kaingia loliondo kwa kishindo licha ya katazo la polisi

au ni kiki ilivuja, ilipaswa kutoka leo?

Kwani ni kweli polisi wangali na makatazo yasiyofuata sheria?
 
Habari za mwisho tokea eneo la tukio kumhusu mwamba huyu nguli wa siasa:


"Yeye na wenziwe walikuwa wamefunga njia. Hapiti mtu kwani hata hao wamezuiwa isivyo halali."

Sasa kitengo chetu cha habari na propaganda kipo kimyaaa ...!

Nini kinaendea eneo la tukio? Sisi tulioko Lindi, Tarime au Misenyi huku tunajuaje kinachoendelea huko?

"Hata tunajipanga au kuhamasishana vipi kutoa support yetu yoyote tukiwa kwenye giza la habari hili?"

Kwamba hawa ndugu labda na wao walipo hawana habari zozote kama kina sisi tu?

Uimara wa wapiganaji waliodhamiria, hauwezi kutenganishwa na uwezo wao wa kupata na kusambaza habari.

Huu si ndiyo ulikuwa ule muda wa zile ID zao au rasmi kwenye social media zote kurindima?

Ajabu na kweli labda wako kwenye kuendeleza yale makasiriko yetu tuliyoyazowea dhidi ya TBC au Channel 10 kutokutangaza?

Ama hakika kufika tutafika, ila tutakuwa tumechoka sana.
Uko sahihi kabisa
 
Taarifa za kukamatwa makamanda karatu updates zisizokima tafadhali.

Nchi nzima tuanze kukusanyika matawini.

Mwanzo wa ngoma ni lele.
 
Nimesikia kuwa wamemkamata na yule Mwandishi wa JAMBO TV aliyekuwa kwenye msafara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA .

Sasa sijui leo source yetu ya habari itakuwa ni ipi.
 
Habari za mwisho tokea eneo la tukio kumhusu mwamba huyu nguli wa siasa:


"Yeye na wenziwe walikuwa wamefunga njia. Hapiti mtu kwani hata hao wamezuiwa isivyo halali."

Sasa kitengo chetu cha habari na propaganda kipo kimyaaa ...!

Nini kinaendea eneo la tukio? Sisi tulioko Lindi, Tarime au Misenyi huku tunajuaje kinachoendelea huko?

"Hata tunajipanga au kuhamasishana vipi kutoa support yetu yoyote tukiwa kwenye giza la habari hili?"

Kwamba hawa ndugu labda na wao walipo hawana habari zozote kama kina sisi tu?

Uimara wa wapiganaji waliodhamiria, hauwezi kutenganishwa na uwezo wao wa kupata na kusambaza habari.

Huu si ndiyo ulikuwa ule muda wa zile ID zao au rasmi kwenye social media zote kurindima?

Ajabu na kweli labda wako kwenye kuendeleza yale makasiriko yetu tuliyoyazowea dhidi ya TBC au Channel 10 kutokutangaza?

Ama hakika kufika tutafika, ila tutakuwa tumechoka sana.
Taarifa za chama hazitolewi kwa papo kwa papo kama za mitaani, taarifa hupitia mlolongo wa idara husika na kutolewa ikiwa imekamilika.
 
Nimesikia kuwa wamemkamata na yule Mwandishi wa JAMBO TV alitekuwa kwenye msafara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA .

Sasa sijui leo source yetu ya habari itakuwa ni ipi.

Hawa madhwalimu si wema
juu Hadi chini.

Tunapaswaa kuwa na mkakati imara kuhusu Habari na propaganda.

Pamoja na shukurani zetu kubwa kwa Jambo TV , watu hawa wanapaswa kutambua hawawezi kuuvunja mkondo wetu wa habari.

Uwapo wa habari sahihi na pia za kimikakati kila wakati kunatosha kuziweka dhamira zetu wazi na kutatuvusha.
 
Taarifa za chama hazitolewi kwa papo kwa papo kama za mitaani, taarifa hupitia mlolongo wa idara husika na kutolewa ikiwa imekamilika.

Tunatambua madhwalimu tunapojielekeza kuwakabili macho huwatoka pima.

Chadema habari na propaganda inahitaji watu wazito wenye dhamana ya maamuzi.

Habari na propaganda chini ya Lissu, Mwabukusi, Mdude, Nshala au hata Dkt. Slaa Kwa habari zao kwa umma na dunia tu;

"Hatakamatwa au kuzuiliwa kamanda popote."

Taarifa za manguli hao zitaitwa za kijiweni na ma CCM na vibaraka wao siyo tulioko matawini tukihaha kupata habari kwa maamuzi magumu.

Tuwapige kidigitali madhwalimu hawa. Information is power.
 
Hawa madhwalimu si wema
juu Hadi chini.

Tunapaswaa kuwa na mkakati imara kuhusu Habari na propaganda.

Pamoja na shukurani zetu kubwa kwa Jambo TV , watu hawa wanapaswa kutambua hawawezi kuuvunja mkondo wetu wa habari.

Uwapo wa habari sahihi na pia za kimikakati kila wakati kunatosha kuziweka dhamira zetu wazi na kutatuvusha.
Ni kweli kwenye kitengo cha Habari na Propaganda hatuko kwenye Standards tunapwaya na yanahitajika maboresho ya haraka haswa kwenye MEDIA zetu

Na tujikite kwenye kutarget kundi hili kubwa la Vijana.

Na tuwe na utamaduni wa kuambiana ukweli kukosoana kushauriana bila kuitana majina kwamba ni Chadema Uchwara.
 
Ni kweli kwenye kitengo cha Habari na Propaganda hatuko kwenye Standards tunapwaya na yanahitajika maboresho ya haraka haswa kwenye MEDIA zetu

Na tujikite kwenye kutarget kundi hili kubwa la Vijana.

Na tuwe na utamaduni wa kuambiana ukweli kukosoana kushauriana bila kuitana majina kwamba ni Chadema Uchwara.

Lengo letu moja mkuu. Japo tusisahau kwenye kundi la mamba kenge nao wapo. Pamoja na yote nakubaliana nawe kenge hao wasitufanye kuparurana menyewe kwa menyewe.

Ni muhimu sana kurejea kwenye drawing board:

1. Habari na propaganda ikikamatwa na aina ya Sarungi au kigogo wa zama zile, Lissu, Mwabukusi, Mdude, Slaa, Nshala au wa namma hiyo itapendeza sana.
2. Infiltration and espionage kama watufanyiao wao haiwezi kuwa halali kwao tu, lakini si kwetu.

Hawa mbona tunakula nao sahani moja japo wana dola na media zote zilizo chini yao?

Pamoja hawatuwezi. Lolote la kutuunganisha hawatatuachia kirahisi.
 
1. Habari na propaganda ikikamatwa na aina ya Sarungi au kigogo wa zama zile, Lissu, Mwabukusi, Mdude, Slaa, Nshala au wa namma hiyo itapendeza sana.
2. Infiltration and espionage kama watufanyiao wao haiwezi halali kwao lakini si kwetu.
Kuna kitu nimekiona kwa Vijana wetu hawapendi Habari ndeefu zinawaboa ni vizuri wawe wanawekewa segment za dakika tatu hadi tano ili ana clck anaangalia anahamia kwenye habari nyingine.

Sababu nyingine pia ni economy vijana wengi hawana uwezo wa kuangalia Live events kwenye online media hawana uwezo

Makongamano ya KATIBA MPYA yamepoa sana ilikuwa inatakiwa huku Mikutano huku Makongamano.

Na mitandaoni mapambano yanaendelea.
 
Kuna kitu nimekiona kwa Vijana wetu hawapendi Habari ndeefu zinawaboa ni vizuri wawe wanawekewa segment za dakika tatu hadi tano ili ana clck anaangalia anahamia kwenye habari nyingine.

Sababu nyingine pia ni economy vijana wengi hawana uwezo wa kuangalia Live events kwenye online media hawana uwezo

Makongamano ya KATIBA MPYA yamepoa sana ilikuwa inatakiwa huku Mikutano huku Makongamano.

Na mitandaoni mapambano yanaendelea.

Kwenye drawing board hakujawahi kudanganya na hasa tukiamua maji kuyavulia nguo.

Jambo jingine kuu ambalo vijana wangependa kusikia ni vipi tuna wahami wahanga katika harakati hizi za mapambano.

Kushiriki harakati hakuwezi kudhaniwa kuwa ni kujichumia majanga.

Zipo familia za kina Lijenje, mawazo, na kina Ben. Nini sera zetu kuwahusu hao na hata wengine wetu wasiokuwa na majina?

Ni wazi kuwa habari na propaganda active na online muda wote, kutakuwa na habari fupi fupi zenye kuamsha ari.

Lissu au wawao wote 10 au 20 hawawezi kuipigania hii nchi peke yao kokote wawapo kuwa. Pamoja nao kwa habari na propaganda tunaweza kukomaa kivyetu vyetu kutokea tuliko.

Kama chama cha waongoza harakati hizi, na tuwe tayari kusikia hata yasiyopendeza masikioni kwa lengo la kujipanga vilivyo.
 
Hapa naona mikutano ya KISIASA izuiwe tena maana haina afya zaidi ya kuleta utengano na uadui.

Hivi ukiamua kufanya jambo la maendeleo wanakuja kupinga na kuhakikisha hakuna jambo zuri linafanyika ambalo litaleta sifa kwa Serikali.
 
Kuna kitu nimekiona kwa Vijana wetu hawapendi Habari ndeefu zinawaboa ni vizuri wawe wanawekewa segment za dakika tatu hadi tano ili ana clck anaangalia anahamia kwenye habari nyingine.

Sababu nyingine pia ni economy vijana wengi hawana uwezo wa kuangalia Live events kwenye online media hawana uwezo

Makongamano ya KATIBA MPYA yamepoa sana ilikuwa inatakiwa huku Mikutano huku Makongamano.

Na mitandaoni mapambano yanaendelea.
Huku mabukusi huku silaa
 
Back
Top Bottom