Si uende wewe kuhojiwa kwa niaba yke mana unawashwawashwa sana na dereva wa lissuNi siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Dreva ni first wengine watafuata...kwanini anafichwa na Mbowe huko Kenya. Kama psychotherapy hata tz ipo.Taarifa zake zina utata.
Dreva aliiona kabisa SMG ndani ya gari na gari alishaishuku toka wanatoka BungeniTaarifa zipi mkuu? kwann wewe pia usiwe first suspect kwa kua na taarifa za lissu zenye utata??
Lissu mwenyewe atakuja kutuambia nn kilitokea.. so tuliza bolu.Hata wakati picha ya gari ya Tundu Lissu inapigwa baada ya tukio hiyo gari Haipo...sijui ndiyo ilishaondoka.
Nina uhakika dreva knows something behind this tragedy
Huyo TL bado siyo mzm ndiyo maana bado kalazwa Hospitali,ni mgonjwa lifahamu na hakuna mtu unaweza kusema roho inamuuma.Roho inawauna sana kumuona Lissu bado mzima.
Mtakufa midomo wazi nawaambia.
Vilio vyetu Mungu atavisika tu
Usiwe mbumbumbu -muulize huyo RPC kwanini hawajaenda Nairobi kumhoji huyo dereva? Nani alikudanganya kwamba kazi ya polisi ni kusubiri watu vituoni? Polisi tunawapa fedha kupitia kodi zetu kwa ajili ya kufanya hizo kazi. Waulize polisi ni lini wamemtumia nauli na fedha za kujikimu ili aje Dodoma?Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Kisebu sebu na kiroho papo kinakutesa. Lissu anakuhusu nini? mbona aliposema anafuatiliwa na watu hamkutaka watu hao wachunguzwe? Leo mnataka kumtwika mzigo dereva wa Lissu na kukwepesha hoja ya kuwatafuta wahalifu wenyewe. Acheni kundika upuuzi nyie mashetaniNi siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Acheni kuandika upuuzi nyie mashetani.Kisebu sebu na kiroho papo kinakutesa. Lissu anakuhusu nini? mbona aliposema anafuatiliwa na watu hamkutaka watu hao wachunguzwe? Leo mnataka kumtwika mzigo dereva wa Lissu na kukwepesha hoja ya kuwatafuta wahalifu wenyewe. Acheni kundika upuuzi nyie mashetani
jinsi alivyokwenda Nairobi ndiyo atakavyo rudi DodomaUsiwe mbumbumbu -muulize huyo RPC kwanini hawajaenda Nairobi kumhoji huyo dereva? Nani alikudanganya kwamba kazi ya polisi ni kusubiri watu vituoni? Polisi tunawapa fedha kupitia kodi zetu kwa ajili ya kufanya hizo kazi. Waulize polisi ni lini wamemtumia nauli na fedha za kujikimu ili aje Dodoma?
kwanini wao hawajatumi Interpol kumleta....au wao ndo wanagopa kumleta?Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Jitahidini kuwa mnaelewa mnachokileta hapa badala tu ya kutaka kufurahisha mabwana zenu!jinsi alivyokwenda Nairobi ndiyo atakavyo rudi Dodoma