Nakusaidia wewe kuelewa na uache kumfurahisha RPC wa Dodoma. Kwamba ni wajibu wa polisi kumfuata dereva wa Lissu kwa ajili ya kumhoji kokote aliko na sio yeye kuwafuata polisi! Polisi hawapaswi kuelekeza lawama kwa dereva wala Chadema katika suala hili!Na wewe unamfurahisha nani?