Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,680
- 112,878
hii ishu yani imekuwasha sana wewe
Tramadol sijui ni dose ya kutibu ujuha wako.Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Umemstahi sana kusema anawashwa, sema anawashwawashwahii ishu yani imekuwasha sana wewe
Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Kushabikia na kufurahia matatizo ya Tundu Lissu hakutakusaidia chochote!!Ikishakuwa mwanaharakati hayo ndiyo matunda yake lazima uyatarajie.
Kushabikia na kufurahia matatizo ya Tundu Lissu hakutakusaidia chochote!!Hata wakati picha ya gari ya Tundu Lissu inapigwa baada ya tukio hiyo gari Haipo...sijui ndiyo ilishaondoka.
Nina uhakika dreva knows something behind this tragedy
Kushabikia na kufurahia matatizo ya Tundu Lissu hakutakusaidia chochote!! hata kama kila siku utandika uzi kumhusu wewe si familia yake!!!Wewe ndiyo unafurahia
Dreva ni first wengine watafuata...kwanini anafichwa na Mbowe huko Kenya. Kama psychotherapy hata tz ipo.Taarifa zake zina utata.Kuna watu weng sana ambao wanaeza kuwasaidia upelelezi....kuliko ata uyo dereva wa lissu
Anzen na bashiteee
Mbona nyinyi wahusika mnajitekenya sana leo dereva mmeona ni muhm sana tena kwa haraka sana kuliko gari ambayo mlipewa taarifa na Mh tundu lisu kuwa inamfuatilia na namba ya gati pia aina lkn mkaona ni upuuzi leo macho yamewatoka misili ya mjusi kabanwa na mrango upuuzi eti ukakasi huna aibu.Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.
Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.
Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?
Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?
Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Yanakuhusu nini ? Kama unamtaka mfate Nairo. Na akikusimulia utafaidi nini, what next. Inakuongezea ugali nyumbani ?Hata wakati picha ya gari ya Tundu Lissu inapigwa baada ya tukio hiyo gari Haipo...sijui ndiyo ilishaondoka.
Nina uhakika dreva knows something behind this tragedy
Nanda kajumuike na wasomaji wa Albadili.Tramadol sijui ni dose ya kutibu ujuha wako.
Tangu shambulio la Lisu litokee umebaki kuhaha na kuanzisha nyuzi nyingi sana zenye maudhui hayo hayo.
Usiku wa tarehe 7, hukulala ulibandika mabandiko kibao sana.
Ulikereheka, ulisikitishwa, ulijilaumu, ulisononeka, ulijutia kwa kushindwa kufanikisha adhima yenu ya kutoa uhai wa Lisu.
Nini msichokijua mnachokihoji?
Mumeshindwa kukamata hiyo Nissan nyeupe ni Intelijensia gani mnaoijua kama si ya kukamata watu hovyo hata wanaofanya maombi? Eboo!! Hadi maombi mnakataza? Halafu mtu anasema aombewe, hakuna Mungu mjinga na Mpumbavu kama ninyi wapumbavu.
Mlishindwa vipi kumuhoji huyo Dereva siku ya tukio kama kweli munaijua Intelijensia?
Hao walinzi wa Area D mumewahoji? Wametoa majibu gani?
Kwa nini mnakataza uchuguzi huru wa Kimataifa?
Mnajitekenya, mnacheka wenyewe.
Hii damu mliyoimwaga mchana kweupe kwenye makazi ya Viongozi wa Serikali haitowaacha salam Daima!
Kaeni mkijua malipo ni hapa hapa Duniani, fanyeni jinsi mnavyotaka lakini muwe tayari kupokea chochote kitakachotokea.
Atatiwa nguvuni tu labda akimbilie uhamishoni baada ya uharamia huuYanakuhusu nini ? Kama unamtaka mfate Nairo. Na akikusimulia utafaidi nini, what next. Inakuongezea ugali nyumbani ?
Upumbavu kila siku dereva , dereva, dereva , dereva. Then ??? Hana imani na nyie. Hataki sasa.
Kazi ya dereva kuendesha gari kwa maelekezo ya boss, mambo mengine haya mhusu wala hayakuhusu.
Nyie watu hampumziki?
Dreva lazima apatikane tu popote alipo arudi Dodoma haraka.Mbona nyinyi wahusika mnajitekenya sana leo dereva mmeona ni muhm sana tena kwa haraka sana kuliko gari ambayo mlipewa taarifa na Mh tundu lisu kuwa inamfuatilia na namba ya gati pia aina lkn mkaona ni upuuzi leo macho yamewatoka misili ya mjusi kabanwa na mrango upuuzi eti ukakasi huna aibu.
Inabidi watu kama mtoa mada wawepo kwenye jamii kupata balance. Hatuwez kuwa na same level of thinking, huyo mtoa mada pengine furaha yake ni kuanzisha nyuzi zinazohusu ishu ya Great Lissu, au la yuko kazini. Dereva atarudi na Lissu pia atarudi, Mungu ni mwema sana.
Wewe unajifanya polisi!!! utajipendekeza sana wajinga na wapumbavu ndiyo watakuunga mkono ujinga wako huuDreva lazima apatikane tu popote alipo arudi Dodoma haraka.