Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,915
- 3,749
Mwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Oa tu mkuu ngono za nje chafu sana mkuu na uti zpoSasa kama ninahela.nyingi na sihitaji ku
ziwekeza zaidi nifanyaje sasa.Ngono ni hitaji muhimu la mwanadamu.
Kuwaza ngono si upumbavu, bali ni hali ya kawaida ya kibiolojia na kisaikolojia kwa binadamu aliyekomaa. Tamaa na mawazo ya ngono huchochewa na homoni mwilini, lakini athari yake inategemea jinsi unavyoyadhibiti.
😀 Sawa ya kinyonge san bamdgSawa mkuu.
Kama ni mke wako sawa ila kando na hilo n upumbavuKuwaza ngono si upumbavu, bali ni hali ya kawaida ya kibiolojia na kisaikolojia kwa binadamu aliyekomaa. Tamaa na mawazo ya ngono huchochewa na homoni mwilini, lakini athari yake inategemea jinsi unavyoyadhibiti.
Kutowaza ngono ni ugonjwa, tena gonjwa chronicMwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Leo hauchuji nafaka?Ni ba’mnyogode!
Umetumia akili sana kutoa Uzi huuMwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Kwa hiyo kama sio mwanandoa haisimami?sijamaanisha ngono ni mbaya ila kwa wanandoa sawa.ila nje na hapo n upambavu mademu hawana maana n nuks tupu.