kuwaza ngono ni upumbavu.

kuwaza ngono ni upumbavu.

Kuwaza ngono si upumbavu, bali ni hali ya kawaida ya kibiolojia na kisaikolojia kwa binadamu aliyekomaa. Tamaa na mawazo ya ngono huchochewa na homoni mwilini, lakini athari yake inategemea jinsi unavyoyadhibiti.
Naunga mkono hoja. Naturally hisia za mwili zinazochochewa na uwepo wa homoni iitwayo testosteron kwa mtu mwanaume-rijali ni kawaida awaze ngono.
Ngono ni mojawapo ya hitaji muhimu la kimwili kwa mwanaume rijali.
Cha msingi hapo ni mhusika ajitambue na kuweza kuyatawala matamanio hayo.
 
Naunga mkono hoja. Naturally hisia za mwili zinazochochewa na uwepo wa homoni iitwayo testosteron kwa mtu mwanaume-rijali ni kawaida awaze ngono.
Ngono ni mojawapo ya hitaji muhimu la kimwili kwa mwanaume rijali.
Cha msingi hapo ni mhusika ajitambue na kuweza kuyatawala matamanio hayo.
Kama umeoa sawa licha na hilo n upumbavu na ushenzi
 
Kama umeoa sawa licha na hilo n upumbavu na ushenzi
Haijalishi umeoa au hujaoa. Kwa yule ambaye hajaoa hiyo inamsukuma mwanaume awahi kuanzisha mchakato wa kutafuta mwenza/mke na kuoa.
Itoshe tu kusema kuwaza ngono ni jambo jema (Sio upumbavu) na ni la kiasili ambalo mwisho wa siku watu huweza kunzisha Familia. Kuwa na familia ni ustaarabu(Sio ushenzi).
 
The good thing is..by 2100 mimi na wewe mleta mada tutakua tushakua chakula cha funza.
Ni kweli; lakini mawazo/hoja/maoni/ushauri vilivyowekwa kimaandishi haviliwi na funza kamwe bali hudumu daima kwa vizazi na vizazi e.g. Hoja au maoni ya mwl. J.K. Nyerere vilivyoandikwa miaka hiyo ya naintini kweusi bado vina mashiko/vinatumika leo 2026.......... ilhali yeye mwenyewe mwamba alishamalizwa kuliwa na funza.
 
ngono ni kwa wanandoa kama hujaoa au kuolewa.kaa mbali na hilo mpaka uoe
Umenena kweli -Safi kabisa :ClapHD: . Tofauti na hapo ndo wahusika wanajikuta ni wenye sonona, maugomvi yasiyo na msingi, kesi za kipumbav-pumbavu, kulishana sumu n.k.
 
Wewe ambaye hauwazi ngono,una utajiri wa kiasi gani ili na sisi tuhamasike kupitia kwako?

Nyie wachina mbona mmesha anza kutufokea mapema hivi?
Mbona nyie wachina mpo 1.4 billioni?
 
Back
Top Bottom