Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,823
- 86,634
Leo napumzika loh tangu ijuma sijawa sober!Leo hauchuji nafaka?
Leo napumzika loh tangu ijuma sijawa sober!Leo hauchuji nafaka?
Ata mkeo akiona unawaza sana hayo ya ngono atakudharau na kukuona jogoo au beberuKama ni mke wako sawa ila kando na hilo n upumbavu
Nilipata mafua makali , acha niyakate na vodka mamnyang'odeLeo napumzika loh tangu ijuma sijawa sober!
Mimi moyo wang nampa yesu anitakase sipo mpweke nikiwa naye.Kutowaza ngono ni ugonjwa, tena gonjwa chronic
yesu ni nani?Mimi moyo wang nampa yesu anitakase sipo mpweke nikiwa naye.
Hahahah piga vituz yatakata bila kupenda leo!Nilipata mafua makali , acha niyakate na vodka mamnyang'ode
Ni shemeji yako!yesu ni nani?
Nataka nikinywa na wewe unyweHahahah piga vituz yatakata bila kupenda leo!
Tufanye hivi, wewe jisifu na mabishara na mafanikio, wengine waache wajisifu na ngono tuone kama biashara zako zinaharibika au kushika. Kila mtu ashike chake anachokiweza jamaniMwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Acha kutushauri ujinga.Mwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Mm nna 28yrs ninabiashara za kutosha kiasi takriban mil 35.ila mimi nina uvulana wangu sitaki ngono mpaka nioeKama tumboni kwako kuna kitovu bc ww nawe n zao la ngono, sasa Isije ikawa umepatikana Wazee wakiwa gest, Lazima uwe na matatizo ya akili
Anyway, mtoa mada em Tupe idadi ya uwekezaji wako
Ndio watufokea shekheMwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Usijisifu yaache mafanikio yakutangazeMwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
NakaziaJinsia yako tafadhali
Acha tu tangu juzi naogelea humo acha tu leo nipoe mwanang!Nataka nikinywa na wewe unywe
Unawasihi wanaume watunze nyeti zao Hadi ndoa?sijamaanisha ngono ni mbaya ila kwa wanandoa sawa.ila nje na hapo n upambavu mademu hawana maana n nuks tupu.
Nyoko! 28 umefikisha lini na ulikuwa na 21 juzi tu hapa! Saa hizi uko busy kushauri watu wazima huu ujinga 🚮Mm nna 28yrs ninabiashara za kutosha kiasi takriban mil 35.ila mimi nina uvulana wangu sitaki ngono mpaka nioe