kuwaza ngono ni upumbavu.

kuwaza ngono ni upumbavu.

Mwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
Usipambane na wengine wenye hela nimewahi fanya kazi hotel waliokua wanaingia na warembo wazuri ni watu wenye hela sio makapuku
 
Mm nna 28yrs ninabiashara za kutosha kiasi takriban mil 35.ila mimi nina uvulana wangu sitaki ngono mpaka nioe
"Kizazi cha sasa kinatengeneza wanaume dhaifu zaidi kuwahi kutokea katika historia ya binadamu.
Mwanaume wa miaka 25 analala hadi saa 4 asubuhi,
Mwanaume analia akikataliwa na mwanamke,
Mwanaume anashinda akibishana kuhusu wasanii wa muziki,
Mwanaume anasubiri mama yake amlipe kodi ya nyumba.
Hamna nidhamu, hamna uthubutu, hamna stamina ya maisha.
Tunatengeneza jamii ya wavulana wenye ndevu lakini wana akili na hisia za watoto wa kike.
Mkizaa watoto wa kiume, wafundisheni kuwa ngumu, maisha hayajawahi kuwa laini"
Huyu mzee asipo pigwa kwenye daladala 😁😁😁 naona hana hata wasi wasi kuongea hivyo ila vijana wanamuangalia kwa hasira sana.

Ngoja tuone nitawapa update!
 
"Kizazi cha sasa kinatengeneza wanaume dhaifu zaidi kuwahi kutokea katika historia ya binadamu.
Mwanaume wa miaka 25 analala hadi saa 4 asubuhi,
Mwanaume analia akikataliwa na mwanamke,
Mwanaume anashinda akibishana kuhusu wasanii wa muziki,
Mwanaume anasubiri mama yake amlipe kodi ya nyumba.
Hamna nidhamu, hamna uthubutu, hamna stamina ya maisha.
Tunatengeneza jamii ya wavulana wenye ndevu lakini wana akili na hisia za watoto wa kike.
Mkizaa watoto wa kiume, wafundisheni kuwa ngumu, maisha hayajawahi kuwa laini"
Huyu mzee asipo pigwa kwenye daladala 😁😁😁 naona hana hata wasi wasi kuongea hivyo ila vijana wanamuangalia kwa hasira sana.

Ngoja tuone nitawapa update!
Golden point
 
Unataka watu tuwe mashoga sio?. Shenzi kabisa. Biological kama mwanaume ukila ukashiba utawaza ngono automatically.
 
Back
Top Bottom