Kuwafanyia watoto DNA test

Lakini kama sio kukosa uaminifu, kwanini akina mama hawaipendi DNA test?

MTM kutokuipenda DNA haimaanishi mwanamke sio muaminifu,

mwanamke muanimifu lazima atakasirika akiambiwa watoto wapimwe dna, kwa sababu hivyo ni kama kumuambia 'nahisi ume cheat na kuzaa nje ya ndoa, sikuamini wala siamini 100% huyu mtoto ni wangu' kitu ambacho ni tusi kubwa kwa mke ambaye hajawahi kucheat

mke asiye mwanaminifu akiambiwa suala la dna hata furahia vile vile for obvious reasons,
 
MTM kutokuipenda DNA haimaanishi mwanamke sio muaminifu,

mwanamke muanimifu lazima atakasirika akiambiwa watoto wapimwe dna, kwa sababu hivyo ni kama kumuambia 'nahisi ume cheat na kuzaa nje ya ndoa, sikuamini wala siamini 100% huyu mtoto ni wangu' kitu ambacho ni tusi kubwa kwa mke ambaye hajawahi kucheat

mke asiye mwanaminifu akiambiwa suala la dna hata furahia vile vile for obvious reasons,

Triplets,

umweiweka vizuri sana na mimi ndio nilikuwa nataka hoja kwa hoja namna hii!!! Ukweli ni kwamba wanaume wengi tunaiangalia DNA kama solution ya matatizo ya partenity lakini hatuangalii undani na implications za hii test, ila kubishia tu bila hoja nzito ndio kunakosababisha tuendelee kuipigia deba

So, DNA is not pleasant kwa mwanamke no matter what!
 
Mimi ni tomaso na sihesabu mahindi kwa kuona yake... navuna halafu nafanya hesabu!!!
...kwii! kwii!! kwii kwiiii!!!!!!!!!!!! Mkuu lazima ulishaishi nyanda za juu kusini wewe!!! huo msamiati huku pwani haufahamiki..
 
...kwii! kwii!! kwii kwiiii!!!!!!!!!!!! Mkuu lazima ulishaishi nyanda za juu kusini wewe!!! huo msamiati huku pwani haufahamiki..

Hahahaaa

ni kweli kabisa... maeneo ya ifunda, wanging'ombe, kibena, makambako, ismani, gangilonga, kleruu, mkwawa, ilula nk... koote huko nimecheza sana na migage!!!
 
Hahahaaa

ni kweli kabisa... maeneo ya ifunda, wanging'ombe, kibena, makambako, ismani, gangilonga, kleruu, mkwawa, ilula nk... koote huko nimecheza sana na migage!!!
...Good..unanikumbusha mambo ya migage, vinyengo, mafyurisi etc...Tupo pamoja maze!!
 
MTN, This is the other part of DNA testing, though broader than DNA testing.

Genetic screening
Screening involves assessing the couple's family history and, if needed, analysis of blood or tissue samples. Genetic screening is used to determine whether a couple is at increased risk of having a baby with a hereditary genetic disorder. Any couple can request genetic screening, but screening is particularly recommended when one or both partners know they have a genetic abnormality, when family members have a genetic abnormality, or when partners belong to a high-risk ethnic group. Genetic screening involves assessing the couple's family history and sometimes undergoing blood tests or genetic tests.
Family History Assessment
To determine whether a couple has an increased risk of having a baby with a genetic disorder, doctors ask the couple about the following:

  • Disorders that family members have had
  • The cause of death in family members
  • The health of all living first-degree relatives (parents, siblings, and children) and second-degree relatives (aunts, uncles, and grandparents)
  • Miscarriages, stillborn babies, or babies who have died soon after birth
  • Babies with birth defects
  • Intermarriages among relatives (which increases the risk of having the same abnormal gene)
  • Ethnic background (certain groups are at higher risk of certain disorders)

Information about three generations is usually needed. If the family history is complicated, information about more distant relatives may be needed. Sometimes doctors review the medical records of relatives who may have had a genetic disorder.
Carrier Screening
Carriers are people who have an abnormal gene for a disorder but who do not have any symptoms or visible evidence of the disorder.
People can be carriers if the abnormal gene is recessive—that is, if two copies of the gene are needed to develop a disorder (see Genetics: Recessive Disorders).
Only women can carry an X-linked (sex-linked) recessive gene. Women have two X chromosomes. Thus, on the other X chromosome, the corresponding gene may be normal and protect women from developing the disorder. (Because men have only one X chromosome, all men who have an abnormal X-linked recessive gene have the resulting disorder, which is often fatal early in life.)
Carrier screening involves testing people who do not have symptoms but are at higher risk for carrying a recessive gene for a particular disorder. Risk is higher when one or both partners have a family history of certain disorders or have characteristics (such as ethnic background or racial or geographic group) that increase the risk of having certain disorders. However, screening is done only if the following criteria are also met:

  • The disorder is very debilitating or lethal.
  • A reliable screening test is available.
  • The fetus can be treated, or reproductive options (such as abortion or elective sterilization) are available and acceptable to the parents.
In the United States, examples of disorders that meet these criteria include sickle cell anemia, the thalassemias, Tay-Sachs disease, and cystic fibrosis.
Carrier screening usually consists of analyzing the DNA from a blood sample. But sometimes a sample of cells from the inside of the cheek is analyzed. People provide the sample by swishing a special fluid in their mouth, then spitting it into a specimen container, or by rubbing a cotton swab inside their cheek.
If carrier screening indicates that both partners have a recessive gene for the same disorder, they may decide to have prenatal diagnostic testing. That is, the fetus may be tested for the disorder before birth. If the fetus has the disorder, treatment of the fetus may be possible, or termination of the pregnancy may be considered.


Source: http://www.merck.com/mmhe/sec22/ch256/ch256b.html

Also, read more from: http://en.wikipedia.org/wiki/Genetic_testing


Since genetic testing may open up ethical or psychological problems, genetic testing is often accompanied by genetic counseling.

Thanks DC,

Hii ni taarifa muhimu sana kwa wasomaji, unajua nilisoma lile gazeti [nadhani ni majira au mwananchi] walipoweka zile figures za only 60% ya waliopimwa ndio walikuwa baba halisi... hii kitu ilinisumbua sana kwasababu huu ni uandishi uchwara

walitakiwa waseme denominator na pia waseme kwamba zile cases ni biased na zilikuwa tayari filed!!!

DNA ni more than partenity tests..

Na hiyo counseling sijui kama inafanyika ila lazima nitaingia deep kwenye hii topic halafu ntawapa yajayo
 
Hii kitu inafanywaga kwa siri bila mama kujua, na ukikuta wote sio wako taratibu unaondoka unamwachia mama nyumba.

mie kwa upande wangu ni vema aniambie ukweli tu kuliko kimya kimya tukubakiane tuifanye pamoja....
 
Mkuu, DNA test ni ID test kama fingerprints etc

Tusiweke dhana ya partenity pekee jamani, DNA hutumika hata kusaidia kuzuia baadhi ya magonjwa

Mh, kweli elimu zaidi juu ya faida za DNA inahitajika


yeah Mkuu, ukiangalia mantiki ya bandiko langu ndo hiyo kwamba ni zaidi ya partenity, mwanzoni mjadala ulijikita zaidi kuwa DNA ni ya kuprove kuwa mtoto ni wa nani hasa kwa wanandoa.

Na mimi kwa kuona hatari hiyo ndo nikaweza angalizo, ambalo limeboreshwa kwa maelezo ya kisheria na kitaalam zaidi ya Dark City.

Unaweza kuona ni kwa nini ni vigumu kisheria kuibukia wanakopima as an individual na kudai kipimo cha DNA ya mtoto wako!
 
yeah Mkuu, ukiangalia mantiki ya bandiko langu ndo hiyo kwamba ni zaidi ya partenity, mwanzoni mjadala ulijikita zaidi kuwa DNA ni ya kuprove kuwa mtoto ni wa nani hasa kwa wanandoa.

Na mimi kwa kuona hatari hiyo ndo nikaweza angalizo, ambalo limeboreshwa kwa maelezo ya kisheria na kitaalam zaidi ya Dark City.

Unaweza kuona ni kwa nini ni vigumu kisheria kuibukia wanakopima as an individual na kudai kipimo cha DNA ya mtoto wako!

Ni kweli Kaizer (mzee wa utalii wa ndani:D)

suala la DNA ni gumu kidogo na ndio maana public awareness inatakiwa watu waelewe zaidi, maana siku hizi vijiweni utaskia "aisee kacheki DNA" lakini the whole conext remains very unclear to most

Thats why there is JF, ili tuelimishane
 
MTM kuna rafiki yangu wa karibu sana hata kama anasoma hapa atagonga thanks. Alimgusia mkewe wakafanye DNA kwa vile mtoto katoka very black na the head is too big, na masikio makubwa wakati jamaa ni mweupee na mke wake mweupe, alimnunia kama siku 2 analia tu na hata hakula mchungaji ndio aliyemaliza ugomvi kwa kumwaambia "AMINI TU NI WAKO"

Usifanye DNA kama yafuatayo yamewahi kutokea kwako.

1. Kusafiri hata kwa wiki 1
2. Kama una house boy
3. Kama mkeo yuko serikalini/bandarini na amewahi kusafiri/kufanya kazi za shifti.
4. kama ni mwanakwaya(hapa ndio kuna utata na kuna hitaji thread)
5.................
6..................
ha ha ha ha ha ha ha!
nguli hii thread utairusha lini?
 
waliosema KITANDA HAKIZAI HARAMU walifikiria mambo mengi sana!


Wazee wetu walikuwa na akili sana kuhusu mambo ya maisha ingawa hawakusoma shule kama sisi. Naona sisi tumesoma sana lakini akili ya mambo ya kawaida inatupa taabu. Nadhani tunahitaji kutafuta nafasi ya kuchota busara za wazee wachache waliobaki ambao lakini hawajabobea kwenye ufisadi!!!:rolleyes:
 
Wazee wetu walikuwa na akili sana kuhusu mambo ya maisha ingawa hawakusoma shule kama sisi. Naona sisi tumesoma sana lakini akili ya mambo ya kawaida inatupa taabu. Nadhani tunahitaji kutafuta nafasi ya kuchota busara za wazee wachache waliobaki ambao lakini hawajabobea kwenye ufisadi!!!:rolleyes:

Mkuu uko right, once again!!!

Lakini mimi nadhani hakuna kitu kizuri kama technology advancements, kumbuka faida za sayansi hasa kwenye afya za watu!!!

Ni maendeleo hayohayo yametuletea vitu kama DNA, i still believe hiki kipimo ni bora sana!!!
 
Hawa watu wanaitwa wanakwaya we waache tu! Mi wafu ni heri awe baamedi kuliko mwanakwaya! Wanatafunana hawa watu kama hawana akili timamu. Nilikuwa nabisha kipindi cha nyuma. Nikaamua kujiunga na kwaya kwa ajili ya kuiboresha sauti ya nne kwenye kwaya! LOL! Mi mwenyewe nakumbuka nilimegana na wanne kabla sijajua kati ya hao wa4 watatu walikuwa wanamegwa na kwaya masta na huyo mmoja nilikuwa nashea na mpiga kinanda! Hahaha! Nikaamua kuacha kwaya wansi and fo ol. Na waifu ambaye naye nilimpatia kwenye hiyo kwaya naye nikampiga ban (sore, waifu hakumegwa na mtu pale: Sitaki comments)

Hahahahhaha! Usinichekeshe...you are too much! Duh!
 
Hahahahhaha! Usinichekeshe...you are too much! Duh!

mKUU, mambo ya DNA ni utata sana, lakini hii intokana na sisi kutokuwa na uelewa wa kipimo na mahitaji ya kabla ya kipimo.... pamoja na hayo mimi nitakusanya samples za vitoto vyangu na kwenda kucheki
 
mKUU, mambo ya DNA ni utata sana, lakini hii intokana na sisi kutokuwa na uelewa wa kipimo na mahitaji ya kabla ya kipimo.... pamoja na hayo mimi nitakusanya samples za vitoto vyangu na kwenda kucheki

Sawa baba, ila nakushauri utafakari kwanza ukikuta kuna mtoto sio wako nini itakuwa hitma ya
uhusiano wako na mkeo
uhusiano wako na mtoto/watoto ambao sio wako
utafanya nini kukabiliana na effect za kisaikolojia zitakazowapata watoto baada ya kujua mtu wanaemfahamu kama baba toka walipozaliwa sio baba yao
 
Sawa baba, ila nakushauri utafakari kwanza

1. ukikuta kuna mtoto sio wako nini itakuwa hitma ya
uhusiano wako na mkeo- To hell

2. uhusiano wako na mtoto/watoto ambao sio wako
utafanya nini kukabiliana na effect za kisaikolojia zitakazowapata watoto baada ya kujua mtu wanaemfahamu kama baba toka walipozaliwa sio baba yao- hapa kidogo kuna utata na ukizangitia TZ hatuna physcologist

Angalizo kwenye bold
 
Wazee wetu walikuwa na akili sana kuhusu mambo ya maisha ingawa hawakusoma shule kama sisi. Naona sisi tumesoma sana lakini akili ya mambo ya kawaida inatupa taabu. Nadhani tunahitaji kutafuta nafasi ya kuchota busara za wazee wachache waliobaki ambao lakini hawajabobea kwenye ufisadi!!!:rolleyes:
Ndio maana sisi siku hizi tunang'ofoka sana kwa sababu tumekosa busara za wazee wetu. Tunafuatilia kila kitu up to the last point halafu ukipata ukweli wa jambo badala ya kupata relief eti ndio unakufa. Kweli elimu ya darasani saa nyingine ni kimeo sana kwenye maisha ya kawaida hasa mahusiano na mapenzi.
Asante sana DC kwa kukumbuka hili
 
Ndio maana sisi siku hizi tunang'ofoka sana kwa sababu tumekosa busara za wazee wetu. Tunafuatilia kila kitu up to the last point halafu ukipata ukweli wa jambo badala ya kupata relief eti ndio unakufa. Kweli elimu ya darasani saa nyingine ni kimeo sana kwenye maisha ya kawaida hasa mahusiano na mapenzi.
Asante sana DC kwa kukumbuka hili

Mkuu, naomba nikupe changamoto mazee
hivi ukingangania huko nyuma tutafika?
kumbuka DNA is beyond paternity and it has more important values especially on treatment, prevention and forensic
i would rather live in the worl of true people hata kama ni kwa DNA kuliko kutetea uongo simply because wa kale walisema

we contradict ourselves alot, yaani mtu anabelieve in thruths but he/she doesnt want the truth

hakuna kitu kibaya kama living a lie, and DNA to some extent reduce that problem

HIvi DNA ni haramu?
 
Wakuu, juzi katika vikao vyetu vya pombe tulikumbana na hoja moja iliyokuwa moto sana hasa kwa akina mamsapu!!!

Hoja yenyewe inahusu kupima DNA watoto wetu wanapozaliwa; mimi nilitetea kwa hoja kwamba inasaidia watu kuwa makini wanapomega au kumegwa nje, na pia inaleta faida kwa mtoto kwa kumjua baba halisi

Pia nilitetea hoja kwamba hakuja ubaya kutumia utaalam wa kisayansi uliopo kwenye maisha ya kila siku

Cha kushngaza, wanawake woote waliokuwa pale (including tibaigana wangu) walipinga DNA tena kwa hasira kabisa na hasa wakisisitizia kwamba kupima DNA ni kumfanya mkeo kuwa si muaminifu

sasa wadau, naombeni mawazo yenu kwani bado naamimi DNA ni ,uhimu!! akina dada mnasemaje?


Kumwambia mwanamke tumpime mtoto DNA ni sawa na kumuuliza kama mimba aliyo nayo ni yakwako kweli.

Mi nashauri kma hutaki kununiwa sisitiza kupima 2 iwapo...
1. Unajua kwa uhakika kua mambo yako sio(huna uwezo)
2. Kama ulikua mbali na mamsapu wako ndani ya miezi mitatu mimba ilipotungwa.(Kwa kutumia ultrasound unaweza kujua lini mimba ilitungwa...)
3. Kama during that time hukua na mahusiano mazuri na mamsapu wako cz kuna uwezekano alipata comfort somewhere else.
 
Back
Top Bottom