tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
Utoto ukikua utajua raha ya kuwa na umpendaye
Kwahiyo unamaanisha single families pia hawajakua??Ni swals la maamuzi ya mtu binafsi
Utoto ukikua utajua raha ya kuwa na umpendaye
Tatizo la wadada wengi ni moja tu, you fall way too fast!!!! Imagine umekutana na mtu leo, unankubalia leo, thn just today you are deep in love, jumamosi mnazungumzia ndoa....obviously lazma akudanganye na kukuchezea...
You must know how play this game, how to make a man fall for you first. Otherwise mtaumizwa kila uchao!!!!!!
Hujapata alie kupend for real..huyo uliekuwa naye hakuwa mpenz bali kero bringer...kupendwa raha sana. Wanasifia usingle ni excuse tu bt deep inside they need sombdy..huh
Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.
Kitufe cha like hakitoshi!!
Waweke na kitufe cha kiss bana!
yesu alikua single.Kuwa single kutakufanya uishi kama mnyama.
Kuwa single kutakufanya uishi kama mnyama.
Na ukifa sijui nani atakulilia kwenye msiba wako
Nani kasema kuwa single ni raha?
Mwenyewe si umeona umemuekea kamtego ka panya tu, anaanza kujichanganya!
Huyu kashapewa kibuti, kaja hapa aponze maumivu na single fekero wa JF!
...
Chezea kuambiwa 'baby nimekumith', 'nakupenda', 'nnagenye' etc!
afu raha nyengine unakula mbunye bila ndomu!
...
Hapana chezea! Binadamu yoyote, mkubwa na mzima akafurahia usingle!
Nani kasema kuwa single ni raha?
Mwenyewe si umeona umemuekea kamtego ka panya tu, anaanza kujichanganya!
Huyu kashapewa kibuti, kaja hapa aponze maumivu na single fekero wa JF!
...
Chezea kuambiwa 'baby nimekumith', 'nakupenda', 'nnagenye' etc!
afu raha nyengine unakula mbunye bila ndomu!
...
Hapana chezea! Binadamu yoyote, mkubwa na mzima akafurahia usingle!
hahahaaaaa.... na budget ya sabuni inaongezeka... anajifanya hajui.sema umeishiwa mkuu,huna hata ya kumnunulia mango juice ya buku?
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,
Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.
Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...