mkuu ni kweli lakini pia inatesa sana ila ukiwa huna mkwanja kua single ni raha sanaNi visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda ktokana na sababu nilizowahi kuziainisha,ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaish unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jaman unakua huru kufanya yako kwa mda unaojua wewe,weekend ukiamua unatka au ukiamua autoki.Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
Afu watoto atawapataje sasa kama akikata hicho.
Na kwa nini mapenzi yakutese?Mwaya kwa raha zako,
Mapenzi yakishakutesa huna haja ya kuyang'ang'ania
Jipatie nafasi ya kujiachia.
Kuwa single doesn't mean you are lonely wajameni,ni kuwa na break!!
Kuishi single kuna raha sana.unakuwa kama daladala,wanashuka na kupanda...me hakikisha unafunga mkanda(a.k.a ndoms)kuepusha ajali za kizembe(stds)halafu unawapanga kulingana na mwonekano wao na uelewa...kuna wa kwenda naye kwenye harusi,ubarikio,na kuna wa kwenda naye clubbing.....jst kama Zuma na mswati...true african men of 21st century
Na kwa nini mapenzi yakutese?
Hutokea just naturally
Unampenda mtu kwa moyo wako wote kumbe yeye walaah hata hashtuki ni kupretend tu,anakuaminisha kuwa ni wewe peke yako,lakini mambo yanabadilika mifano iko hai kila siku watu wanauwana kwa ajili ya mapenzi.
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,
Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.
Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
Unajifariji wewe. Kuomba visa ya kutoka na washkaji kuna raha yake. Unabembeleza afu unaruhusiwa, unaulizwa kama uko ok unadeka kidogo maisha yanaenda. Kweli utamu wa pipi mate yako.
Are u sure ni raha kua single ni raha si kwamba unajifariji tuu? na ushazoea kudate?m tellin u there will come a time where u'll feel alone j soo lonely u'll need to date again,hapana chezea Nature!!