huo ni uoga wa maisha wanawake ni changamoto kwetu
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,
Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.
Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
Hakunaga hyo,ts married and bored OR single and lonely baaaas...
wewe kuni:busu si nilishakukatalia?
Wewe utaishia tu kunisalimia mkono tena nna mpango wa kuanza kuvaa 'glops'
Yaani mi mtu akisema the other way ni kuwa single and lonely.....sielewagi. Labda kwa wale ambao wenzi wao walitangulia mbele za haki wakaachwa peke yao!!
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,
Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.
Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
mhhh nna mashaka na ww!changamoto??au changamajii?
kwahyo sasa hvi ni full mabaamedi na madada wa kazi.
kuwa single shida tu!
Kila usiku lazima ujipige bao!
unajikuta unachafua mashuka