Kuwa single raha sana

Kuwa single raha sana

Excel iyo minjemba ndo nyie ck mkikosa wakat mshazoea.
 
Last edited by a moderator:
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,

Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.

Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
Ni vema ukaamua kuoa na endapo utaamua kuwa single basi epukana na vishawishi. Zaidi ya hapo utakuwa unazini. Zinaa ni mbaya machoni kwa wanadamu na Mungu
 
Excel iyo minjemba ndo nyie ck mkikosa wakat mshazoea.

hahahahaaa!!! mkuu sisi tuna madem wengi mpaka wengine tunatembea nao kwenye vikapu!

ushawahi tongozwa na mwanamke kwa lazima wewe? sasa mi nijipe bao kwanini wakati wapo mpaka sebuleni?
 
Excel acha kujisifia,ucfkri sipendwi ndugu hayo ni maamuzi yangu.
 
Last edited by a moderator:
Excel acha kujisifia,ucfkri sipendwi ndugu hayo ni maamuzi yangu.

mi sijisifii wala nini!

kuna kipindi nilifanya maamuzi kama yako! eti ooh, nataka kuwa single, sijui nini na nini!

weeh, mchezo ulinishinda baada ya mwezi! nikiongea tu na dem, dushelele inasimama wima hadi aibu!

nikikaa tu for free, hata sijawaza kugegedana, ishu inasimama tiiii!
 
Excel hapa kwng n hatari sina habar
 
Last edited by a moderator:
Jipu jamaa anakufarj tu,karibu kwetu
 
Last edited by a moderator:
It's all about the mindset my friend,

Single doesn't mean loneliness

Hawaachani sana..they r buddies!

Unapodhani being single doesnt mean being lonely ni kama tu loneliness kaenda haja (chooni), akitoka tu wanaambatana wote tena...
 
hehehe, weeh jenga maghorofa kwenye hewa tu tajiri kichwa.
utajijuuu!
hahaaa!! mi ndo nsha click kiss bana!! ndo hivyo unaona notification hapo, Excel has kissed you!!

afu hako ka po nimesharestisha kwa amani!! ngoja nione utakavyoanza kutanga tanga!!
 
Hawaachani sana..they r buddies!

Unapodhani being single doesnt mean being lonely ni kama tu loneliness kaenda haja (chooni), akitoka tu wanaambatana wote tena...

hey!! umetoa wapi meen?
 
So which is better??

Kuwa na mahusiano ambayo huna raha nayo au uwe pekee yako??

Nijibu tafadhali

Best thing ni kupata mtu ambaye ana kujali na kukupenda..tatzo watu wanataka wapewe wao furaha tu bila kuwafurahisha wenzao
Furaha ni two way street ukinipa furaha ntakufurahisha c nimefurah..u thnk ukinipa majonzi n dharau daily ntakuwa good kuwa nae?? Nop lazma ntatafuta sombdy
 
ngoja upate kichapo cha kufumaniwa ndipo utajua single ni raha au karaha!
 
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,

Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.

Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...


Sizitaki mbichi hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom