Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Sanaa sikufikii kwa urembo
Kuhusu kutaka kusema nini...Nimesoma huko juu kwamba ww sio mwanaume mara wewe upinde..ndo nawaambia huyo ni mwanaume mwenzenu au nakosea?
Wadada wa jamiiforums mko toxic sana, kuniita mrembo hakutakusaidia.
 
Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia ā€œ weupe umekubebaā€, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi.

Kwa mfano mimi mbali na kua mweupe, kuna watu wanapenda ninavyo smile,
Kuna wanapenda kucha zangu,
Kuna wanapenda macho na midomo,
Na wengine wako tu general kua wananipenda kua kwa muonekano wangu ki ujumla.
Hivyo ukiwa mweupe usijione ni mzuri, uwe na sifa zinazoeleweka
Sisi weusi kama tyre za GENERAL TYRES TUKOMENTI WAPI..
 
Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia ā€œ weupe umekubebaā€, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi.

Kwa mfano mimi mbali na kua mweupe, kuna watu wanapenda ninavyo smile,
Kuna wanapenda kucha zangu,
Kuna wanapenda macho na midomo,
Na wengine wako tu general kua wananipenda kua kwa muonekano wangu ki ujumla.
Hivyo ukiwa mweupe usijione ni mzuri, uwe na sifa zinazoeleweka
Chai
 
Back
Top Bottom