Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia ā€œ weupe umekubebaā€, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi.

Kwa mfano mimi mbali na kua mweupe, kuna watu wanapenda ninavyo smile,
Kuna wanapenda kucha zangu,
Kuna wanapenda macho na midomo,
Na wengine wako tu general kua wananipenda kua kwa muonekano wangu ki ujumla.
Hivyo ukiwa mweupe usijione ni mzuri, uwe na sifa zinazoeleweka
Wewe ni KE??
 
Mwanaume mweupe ajitahid kumiliki hela.bila hvyo aise ni shida ...ni kama demu aliye period na ashindwe kujisitiri.(Kichefuchefu/
Sio kweli , mwanaume yeyote anapaswa kumiliki pesa , hawa vijana wa sasa walio aminishwa kuwa mweupe ndio unapaswa kujibembeleza ndio tatizo 🚮
 
Back
Top Bottom