Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Wengine wanatumia mikorogo jasho zao zinatoa harufu Kali mnakuja humu Tena kuwasema ila wanaume mmmmmh
Wee usisemwe kisa nini....binadamu kusemwa utasemwa tuu kama hutaki kusema kajinyonge🤣🤣🤣🤣
Mbona nyie wmwatusema oh kibamia, mwanaume huna hela. Mara tunataka TDH lakini siie tupo tuu na mbususu mnatupa
 
Nyie ndio mnasababisha wanaume weupe wengi waonekane wadudu komba mavi gademiiit 🚮
Bwashee asikuumize kichwa marangi rangi hasa Hawa wa Tanzania wengi wanaji kirimu wengi weusi ,,,

Ndiyo maana huko mitandaoni ukiwaona wameungua uso mixer miguu na mikono kusaka rangi adimu
 
Ulivotaja vyote nonsense wanaume tunapenda mzigo Tako na kifua , iyo midomo na weupe wapee wasukuma😅😅
 
Kabisaaa hujakosea, sijawahi kukutana na mwanaume ambaye soda haina gesi km wewe..!!
hayo mambo ya gas ni tuhuma tu za udaku humu ndani hasa wanaume wasio na muonekano wala mvuto. Nitaku surprise one day uje uhadithie humu
 
Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia “ weupe umekubeba”, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi.

Kwa mfano mimi mbali na kua mweupe, kuna watu wanapenda ninavyo smile,
Kuna wanapenda kucha zangu,
Kuna wanapenda macho na midomo,
Na wengine wako tu general kua wananipenda kua kwa muonekano wangu ki ujumla.
Hivyo ukiwa mweupe usijione ni mzuri, uwe na sifa zinazoeleweka
Nikajua kuwa mweupe means "kutokuwa na Akili kichwan" 🙏
 
Hivi kwanini ukiambiwa wewe ni shoga hutaki kukubali wakati mada zako tu ni xa kimatako matako
 
HUYU JAMAA INA MAANA BADO HAJAPATA BWANA?

Manake anajitangaza sana biashara yake
 
Back
Top Bottom