Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

We jamaa unapenda sana hizi mambo, pole sana ila mimi ni mwanaume
Sijakataa kuwa wewe ni mwanaume kama unavyodai , ila kwa mada zako unaonekana ni dudu kombwa mavi bwashee
 
Mwanamke mweupe mjini ana uhakika wa maisha kuliko mwanamke MSOMI maadamu tu azuge zuge tu ana maadili fasta anatoboa asiwe tu na akili kama za miss tanzania mstaafu
 
Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia “ weupe umekubeba”, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi.

Kwa mfano mimi mbali na kua mweupe, kuna watu wanapenda ninavyo smile,
Kuna wanapenda kucha zangu,
Kuna wanapenda macho na midomo,
Na wengine wako tu general kua wananipenda kua kwa muonekano wangu ki ujumla.
Hivyo ukiwa mweupe usijione ni mzuri, uwe na sifa zinazoeleweka
Kucha zako zikoje madam
 
Mwanamke mweupe mjini ana uhakika wa maisha kuliko mwanamke MSOMI maadamu tu azuge zuge tu ana maadili fasta anatoboa asiwe tu na akili kama za miss tanzania mstaafu
Wapi huko waliopo hapa mtaani wamechoka balaa na wengine single mother kila mtoto na baba yake
 
Back
Top Bottom