Mimi nimeeleza ukweli uliopo, bado unalalama, Badala ya wewe kutueleza huo uongo wako katika Hisabati ulikuwaje, umetujumuisha wote ktk Upotovu wako.
Sawa afisa afyaktk mazoezi sikuwahi kufika hata 20/50! necta nikakaa na mkali wa vitu nikapanga hisabati 46, lugha 40 na maarifa 49!
nikachaguliwa milambo wanaume na mshikaji tabora wav.
kuanzia milambo nikaanza kujikongoja na csee nikapata C ya namba na mengine B flat.
alev nikaenda egm nikatoka na CCD nikaingia Udsm Baed, nikatoka na GPA ya 3.7
nikaajiriwa kuwa mwalimu shule Fulani biharamulo na baadae nirudi Udsm kupiga mph, na sasa nafanya PhD huku nikiwa afisa afya wa halmashauri Fulani mkoa wa kagera.
sawa mkuuHahaha! Umenikumbusha mbali sana katika hicho kitu.(2008). Ilinipa umaarufu mkubwa shuleni na mitaani muda huo.
Japo kwa jumla ya masomo yote siingii kumi bora, lakini katika karatasi hilo nawaburuza wote hadi wale vichwa. {(45/50).to (50/50
Ila kitu ambacho siwezi kusahau, ni kukosa lile swali moja tu katika mtihani wa Mocko. (Swali la kutafuta namba mraba ya 56), nilikosea kuzidisha, ikasababisisha nipate 49/50. Basi hadi leo naumia sana kwa swali hili.
N.B. Nilikuwa najua na najiamini saana katika Hisabati, na maswali mawili matatu ninayokosa ni multiplication/addition/minision or addition error.
Lakini kwenye Basic Mathematics nilikuwa wa kawaida sana, japo nilionekana najua kwa sababu niliishi kwenye kundi la wasiojua!