Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Kwani umesema unataka maswali ya wakati unasoma? Umesema uulizwe swali lolote na utajibu.wakati nasoma hili swali halikuwepo
Kwani umesema unataka maswali ya wakati unasoma? Umesema uulizwe swali lolote na utajibu.wakati nasoma hili swali halikuwepo
Hizi ndio sijui kabisaaaaa!hesabu za mauzo ya mangi je ??
Hahaha! Umenikumbusha mbali sana katika hicho kitu.(2008). Ilinipa umaarufu mkubwa shuleni na mitaani muda huo.
Hahahah poa mkuuSwali la kwanza mpaka la 30 nilikuwa na uwezo wa kufanya mimi mwenyewe. Lakini pale yalipokuwa yanaanza maumbo na yale mafumbo ya Umri, sijui umbali na mengineyo nilikuwa nayaangalia tu kama hakuna pa kuibia.
HahahahWatanzania ni waongo sana,tuacheni utani hii hesabu ingetangazwa tu janga la taifa baada ya umaskini,ujinga na maradhi
LIKESWakuu muwe mnatoa Na likes basi eeh!.