Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 259
Nitajie ngoma ambazo/ambayo ni ya Marehemu Albert Mangwair, au Awe ameshirikishwa. Na kwenye hiyo ngoma amefunikwa na huyu msanii mwingine. Ni ngoma gani hiyo?
Ulisikiliza halafu ukasema humu Ngwair kafunikwa, Pamoja na uwezo wake mkubwa aliokuwa nao.
Namba 2.
Nitajie top 5 ya ngoma zako kali kutoka kwa Ngwair. 5 tu.
Mimi naanza.
1.Masikini Wenzangu
2.CNN
3.Mikasi
4.Mapenzi Gani
5.Tupo Juu.
Twende kazi ndugu zangu wa Jamiiforums.
#Forgive me.
Ulisikiliza halafu ukasema humu Ngwair kafunikwa, Pamoja na uwezo wake mkubwa aliokuwa nao.
Namba 2.
Nitajie top 5 ya ngoma zako kali kutoka kwa Ngwair. 5 tu.
Mimi naanza.
1.Masikini Wenzangu
2.CNN
3.Mikasi
4.Mapenzi Gani
5.Tupo Juu.
Twende kazi ndugu zangu wa Jamiiforums.
#Forgive me.