Kuwa Mwaminifu;- Nitajie Maksi Zako Kama Ulikuwa Unapata!

Lugha nilikuwa vizuri napata 45+ ila hesabu -40 na maarifa 41+ nilikuwa bright kiasi chake and by that tym hakukuwa na shule za kata so Ifunda tech ilinihusu
 
Aaaah mambo yangu hayo Hesabu nilikuaa napata 48/50.Overall marks 240/250-220/50.
 
tobaaa!! nakumbuka siku ya necta mwl alitwambia fanyeni mnayoyaweza coz kuna mechanism inafanyika basi kusikia hivyo nilieweza lakwanza hadi kumi mbili...halafu nikakaa kusubri sasa....sasa bana subiri subiri sion kitu mda ndo unazidi kuyoyoma kushtuka bado saa moja loo acha kijasho kianze kinitoka....na uzingatia nilikuwa nimerudia...shikamoo number
 
Sijawah shuka 35 na sijawah zidi 49
36 mara mbile nying 39 to 47
Mikochen dsm
 
Sijawah shuka 35 na sijawah zidi 49
36 mara mbile nying 39 to 47
Mikochen dsm
Me cjawahi shuka 45 ila mara nying ilikua ni 50/50.Sasa usiombe ukakaa na mshkaji wako hajui kitu half pepa gumu daaah utasumbuliwa mpk ukome .
 
Me cjawahi shuka 45 ila mara nying ilikua ni 50/50.Sasa usiombe ukakaa na mshkaji wako hajui kitu half pepa gumu daaah utasumbuliwa mpk ukome .
Sema mpakanleo hazina uhalisia na Marsha yang mf sijawah tumia Pythagoras theory katika maisha yakawaida wala umbo la trapeza hata yale ya umri wa watu umbea mwing hakuna kàbiasa
 
Dah! Hesabu, mathematics... Sikuwa vizuri. Kijana wangu (yupo form one kwa sasa), akitaka tugombane aje kuniuliza maswali ya hesabu, hasa hayo maumbo. Kiukweli kwa upande wangu nilikuwa napigania nisishuke chini ya hamsini tu. Ila kwenye sayansi na lugha nilihakikisha nalipa kisasi...

mmhh.....Hesabu, Mathematics...Ni masomo mawili tofauti au ulitaka kumaanisha nini mkuu.
 
somo pekee nililokuw na uwezo na uhakika wa kupata banda kutoka vidudu mpaka chuo Kikuu ni mwendo wa banda tuu..daah !! I love mathematics
 
umenikumbusha mitihani ya jumamosi pale shule ya msingi, kuna ka mwalimu kalikuwa kanapiga fimbo as if labda yeye huwa hakosei, looo sitamani kukumbuka bashite zangu za hesabu
 
Back
Top Bottom