a"Yani nachukia nachukia sana, yani nachukia huu mtindo huku JF kila comment kuna mtu anakataa wazo la mtoa uzi, kwanini na nyie msifungue za kwenu ayo ma comment yenu yawe uzi!!?
Hata tunashindwa kupata mtiririko ni mtu tu kapinga uzi.
Yaani tuchoshwe na serikali bado na nyie mtuchoshe huku JF mimi nachukia sana na mod na wapo tu wanaangalia sijui hawaoni tunavyokwazika "
HAYA MFANO WA MALALAMIKO HUO HAPO JUU