umeandika ukweli mkuu👏👏Mtu anaelalamika mara nyingi anatafuta suluhu ya jambo linalo tesa akili yake,na hilo jambo inaonesha kuwa linajirudia,kwahiyo kama ni mtu wako wa karibu simply jaribu kubadilika na uende na mapigo yake uone kama ataendelea kulalamika...
weee nipo vizuriiiiiKama Mimi namuogopa wewe je..?! Wewe ndo huwezi tena huwezi haswaaa.. utadundwa bure..😂
Ha ha! Mkuu najua nilichoandika na namjua vizuri mtu husika Wala sio kwamba ati sijawahi muona au vipi na nimeishi nae! Hata kakitu kadogo tu ye lalamiko! Unajua Kuna malalamiko ya kawaida na yaliyozidi! Wenye experience na watu wa namna hiyo wanaweza nielewa.Mtu anaelalamika mara nyingi anatafuta suluhu ya jambo linalo tesa akili yake,na hilo jambo inaonesha kuwa linajirudia,kwahiyo kama ni mtu wako wa karibu simply jaribu kubadilika na uende na mapigo yake uone kama ataendelea kulalamika...
labla useme na jinsia yake ili tufahamu vizuri pia Kama Ni mtu unaeishi nae inategemea unamtendea Nini mtu hawezi lalamika tu .Ha ha! Mkuu najua nilichoandika na namjua vizuri mtu husika Wala sio kwamba ati sijawahi muona au vipi na nimeishi nae! Hata kakitu kadogo tu ye lalamiko! Unajua Kuna malalamiko ya kawaida na yaliyozidi! Wenye experience na watu wa namna hiyo wanaweza nielewa.
umepotea Sana nakuona kwa manati mkuu msamiliee anaekuficha hukoo👋🤣 Habari yangu ni tamu..😋
Atakuwa mwanachama wa "madole mawili" huyo, ndioo wamejaa humu!Kuna jamaa angu mmoja ana ilo tatizo.
Yaan hajawai kuridhika Wala kupongeza,
Mwanae juz kafaulu kapata division One ya 12 shule ya kata, watu tunampongeza yeye analalamika Tena mbele ya mwanae
Eti
" hamna kitu mle, ulkua mwaka wa uchaguzi ule. matokeo yamekuja kisiasa aya"
Hadi mwanae amebaki anamshangaa baba ake.
Kama hauishi nae Tena basi usilalamike Tena msamehe tu mkuu.Ni me siishinae ila nimeshaishi nae sana tu Tena sana.. sijawahi mtendea
🤣🤣mwee kweli umepata msamiliee wifi yangu jmn ila mwambie mara mojamoja akuachie khaa .Hakajambo na kanamambo maana kanauma na kupuliza tena kamenificha kwenye Kona ya mahaba na kalivyo Sasa kapo Kama hakapo ila kanamambo makubwa🤣
🤣🤣🤣👏👏safiiiSawasawa wifi wa watu unasalimiwa..
🤣😂🤣😂mwee"Yani nachukia nachukia sana, yani nachukia huu mtindo huku JF kila comment kuna mtu anakataa wazo la mtoa uzi, kwanini na nyie msifungue za kwenu ayo ma comment yenu yawe uzi!!?
Hata tunashindwa kupata mtiririko ni mtu tu kapinga uzi.
Yaani tuchoshwe na serikali bado na nyie mtuchoshe huku JF mimi nachukia sana na mod na wapo tu wanaangalia sijui hawaoni tunavyokwazika "
HAYA MFANO WA MALALAMIKO HUO HAPO JUU
Kabisa mkuuMkuu haya mambo yapo japo watu wanachukulia poa!