Wewe una tatizo mahali .... tena unahitaji msaada ...ilitakiwa kwanza ujue sababu za kufunga , faida ya kufunga , kwakifupi kama ulifunga mkuu ulishinda njaaNiliacha kwenda baada ya kulazimishwa kufungua nakufunga kwa maombi kila ninapohudhuria vipindi....wakati Mimi huo upako sina
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Lakini wote tumemjua MUNGU kupitia maandiko na hata kujitambua kwako kumetokana na kufundishwaMara ya mwisho kwenda kanisani inakaribia miaka 26 sasa na hii imetokana na kujitambua kwangu. Nimerudi katika imani yangu ya ukweli ya Uafrika, naamini Mungu tu na mizimu yangu. Siamini mwarab wala mzungu.
Yes nimefundishwa na Wazee wangu waafrika na si waarab na wazungu wanaotudanganya kila kukicha na kutuchezea akili.Lakini wote tumemjua MUNGU kupitia maandiko na hata kujitambua kwako kumetokana na kufundishwa
Kha!! Mtumikie Mungu...2019/8/24
Naanza pasaka ya kesho kutwaKha!! Mtumikie Mungu...
Kila la kheri... Kua imara kama mlimani Sayuni usitikisike milele daima....Naanza pasaka ya kesho kutwa
Amina.Na Kristo anirehemuKila la kheri... Kua imara kama mlimani Sayuni usitikisike milele daima....
Usiniombe wala usijaribu kunirudisha kundini, kitakachokukuta...Amina.Na Kristo anirehemu
Ili upate mzuka wa kwenda chuch inabidi uanze kusikiliza yale mahubiri ya wasafi tv asubuhi nafkiri nikina masanja na genge lake ....then from there ndo mood itakujaMwaka Jana 14/10
Umesahau mzunguko wa jumuia kutegemeza kanisa kana kwamba limeegema.Niliacha kwenda tangu walipo ongeza michango ya kanisani.
1.Sadaka ya Zaka.
2.Sadaka ya jumapili.
3.Sadaka ya mavuno.
4.Sadaka ya jumuiya.
5.Michango ya harusi.
6.Michango ya misiba.
7.Michango ya viti vya jumuiya.
8.Michango ya kigango.
9.Michango ya jengo la paroko.
10.Michango ya ukarabati wa kanisa.