jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,521
Naamini kila moja Ana kile anacho kiamini lakini hiyo bado haikufungi wewe kwenda kwenye nyumba ya ibada ...ijapokuwa enzi za mqbabu zetu cjui kama kulikuwa kama ivi sasa utandawazi umekuwa mwingi sana
Imefika kipindi watu wana hoji baadhi ya maswali ambayo zamani yalokuwa nadra sana mfano .. sahvi watu wanahiji uwepo wa MUNGU nakadhalika ... japo hili halikuwa mada yangu kwa Leo..... sasa basi naomba kukuliza mara yako ya mwisho kwenda NYUMBA YA IBADA ILIKUWA LINI?
Imefika kipindi watu wana hoji baadhi ya maswali ambayo zamani yalokuwa nadra sana mfano .. sahvi watu wanahiji uwepo wa MUNGU nakadhalika ... japo hili halikuwa mada yangu kwa Leo..... sasa basi naomba kukuliza mara yako ya mwisho kwenda NYUMBA YA IBADA ILIKUWA LINI?