Kuwa first born sometimes ni shida

Kuwa first born sometimes ni shida

Yani first born akazingua Mara nyingi Wazazi wanapata msongo wa mawazo. Maana kiafrika first born Ni Kama mzazi wakitoka baba na mama yeye ndo anakabidhiwa majukumu.
Ndio sababu, baadhi ya mashirika ya Mapadri wa Kikatoliki huwa hawamchukui first born kuwa Padri, atashindwa kubeba majukumu ya kichungaji na yale ya familia yake. Kuwa first born huku Afrika ni shida sana.
 
Mimi ninachojua ni mstari wa utofauti kati ya first born na last born ni mwembamba sana.
 
Yaani huu ni uuaji

Wazazi wana rob childhood of an innocent kid kwa kumpa majukumu ya kuwalelea watoto waliozaa wao kwa ngono zao wao wenyewe kwa utashi wao

Hawa wazazi ni wa kushika na kufunga jela kabisa,hii ni child abuse

Ni unyonyaji na uuaji kukabidhi mwanadamu mwingine atumie nguvu zake na maisha yake limited na resources zake limited hapa duniani kukusomeshea wanao uliojizalia kama juha?

I will never do this dangerous thing to anyone,I will pay and be responsible to everything I have decided kuzaa myself

Never
Sasa mkuu si baraka unapata?

Na wazazi hawana uwezo utafanyaje bro?

Saint Anne
 
First born lazima asulubike ata kama yupo peke yake...haiwezekana first born aharibu titi la mama na baadhi ya viungo vyake afu akikuwa mkubwa eti anataka asisulubishwe....

Ukiwa me ndo usisemeee
 
ohooo!!! ongezea infos
First born ni gombania goli mkuu kwenye vita ya malango katika ulimwengu wa roho, ndo maana maisha yao huwa yana changamoto sana.....last born yeye ni mtoto pendwa kwa hiyo na yeye anaweza kuwa target. Hebu muite mshana aje atudadavulie vizuri kuhusu hili. Halafu nyie last born mbona huwa mnazingua sana? yaani unakuta ameshakuwa mtu mzima ana familia yake, ila kazi kujibaraguza ili apate attention, hivi huwa mnajikuta nyinyi ni nani hasa?
 
Yaani huu ni uuaji

Wazazi wana rob childhood of an innocent kid kwa kumpa majukumu ya kuwalelea watoto waliozaa wao kwa ngono zao wao wenyewe kwa utashi wao

Hawa wazazi ni wa kushika na kufunga jela kabisa,hii ni child abuse

Ni unyonyaji na uuaji kukabidhi mwanadamu mwingine atumie nguvu zake na maisha yake limited na resources zake limited hapa duniani kukusomeshea wanao uliojizalia kama juha?

I will never do this dangerous thing to anyone,I will pay and be responsible to everything I have decided kuzaa myself

Never
Wewe huwa huwasaidii wadogo zako?
Kama wewe ni last born,je hujawahi saidiwa na waliokutangulia?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakudanganya?

Mungu yupo hapa duniani ku-reward uonevu?

Yaani wewe ufanye uzembe wako,uhamishie majukumu yako kwa wanadamu wengine wasiohusika then mungu akusaidie ku-reward hao watu unawaonea?

Huyo mungu ni mpumbavu na anasaidia katika uonevu wa watu wasio na makosa

Wazazi hawana uwezo wavune walichopanda wao maana ni maamuzi yao wao binafsi kujiletea yanayowakuta

Kama kuna natural calamities kama ulemavu,vifo,magonjwa makubwa,etc hapo tunaweza ongea and still nina hoja ya kupangua huo upumbavu

Hii virtue binadamu waliyopewa na dini yakua kila binadamu ni sacrificial lamb kwa mwanadamu mwenzie ni very very bad idea
Kusaidia wadogo zako ni upumbavu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu,

Jamani ma first born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada yaani ushatwikwa majukumu kama yote.

Mafirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.
Hizo changamoto ujiongeze tu.

Mimi natimiza maombi kama jini la Aladini.

Kaka Mkubwa Kiranga.
 
Ubaya wa kuwa firstborn Ni kuwa unatakiwa uache mambo ya kitoto mapema na upambane haswa uache mambo ya kuchagua kazi maana ukiwa firstborn na ukawa raru alafu ukute umemzalisha mtoto wa mtu na unaishi nae kwa baba na mama yani ipo siku faza anaweza hata kukutia mikwaju mbele ya mtoto wako na mke wako

Mm ni firstborn na ninaamin baraka nying nazozipata na Shari nyingi zinazo nikosa ni kwaajili ya dua za wazazi sijawahi kujutia kutoa hela yoyote kwaajili yao sana moyo wangu unakua na furaha na ninapata zaid ya mara 10 baada ya muda mfupi tu
 
Ni upumbavu

Hoja yangu ni simple kabisa.....

Inakuaje una deprive your biological kids with their basic needs and inheritance kwa kuwapa watoto wa mwanadamu mwingine?

Yaani wewe unachukuaje haki na mali za watoto wako ambao hawajafanya kosa lolote unaenda kuwapa wanadamu wengine?

Wenyewe wapate wapi mali na matunzo ambayo ni haki yao rightfully?

Kwanini kila mwanadamu dunia hii asihudumie mwanae aliemleta duniani kuliko kuwapa wanadamu wengine hilo jukumu?

Na kama unapenda sana hizo Baraka,zinawahusu nini watoto wako hizo baraka?

Yaani unawanyang'anya wanao mali zao kwa your own benefit ya kupata "baraka"?

Wizi ni wizi tu..hakuna cha maana hapo..na mungu mwenyewe ni mpumbavu pia

Yesu wangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom