Kuwa first born sometimes ni shida

Kuwa first born sometimes ni shida

Sasa mimi ni first born ila nipo peke yangu....Huu uzi unanihusu?
Huu Uzi haukuhusu mkuu. Unahusu wale maFirst born wenye majukumu ya familia zao/wadogo zao
 
Kweli kabisa mafirst borns tuna raha na shida, raha ni pale wazazi wanapozingatia mawazo yako kwenye maamuzi,kuna kaheshima fulani hivi, mimi dada mkubwa nna kaucontrol flani hivi mixer vibao na makonzi madogo wakizingua ila pia ntahakikisha vitu vimeenda sawa wamekula, wako sawa nk. Shida naona kabisa nakabidhiwa majukumu vizinga vya wanafunzi mara dada nimeishiwa pesa ya matumizi shule aargh nikiwa sina nawajibu wazazi wenu si wapo? Why mnaniomba mimi

Proudly firstborn miye
mie dogo yupo shule lakini akiwa na shida au kusalimia ananipigia mie,huwa namuuliza mama hapatikani au?
 
Yani Mimi vizinga vya home siwezi kupangua. Sipendi kuona wazazi/wadogo zangu wanashida Yana hata Kama ninakidogo nitajinyima niwape
Kama mie tu,sipendi kupokea simu ya dogo eti dada nimeishiwa pesa ya matumizi,huwa naumia sana,ata yeye mwenyewe nilimwambiaga kuwa,,,naumiaga sana unavyoniambia hauna pesa ukiwa shule,,,nikampa onyosio kwavile nimesema naumia ndio unipige vizinga kila siku
 
Mi first born ila kuna huyu dogo ni mtukutu nimempa kipondo mpaka hataki kuniona madogo wakizingua lawama zinakuja kwetu zote sasa ilo sipo tayari nitamyoosha sawia tens barabara, niligoroga sabuni ya unga nikatia pilipil kwa mbaalii nikamloesha nikamlamba waya mpaka nikamuonea huruma
weeh unapiga!! Me siwezi,nina dogo huyu ni wakiume pekee afu ni kamwisho,asee dogo jeuri,kiburi,hakatumiki kila kitu kanasema siwezi,
Kupiga siwezi,nikimpiga mtoto vile akilia roho inaniuma,huwa najutia kupiga.
 
Amebaki dogo mmoja yuko mwaka wa pili huu dah ananiumiza kichwa sana. Chuo private, ada mil 3.2 plus gharama zingine zote. Sasa hivi sina laptop karibia mwaka sasa, aliichukua yeye asomee.

Najiona kabisa saa hizi namiliki hiki na hiki ila ndio hivyo pesa inaenda kwake. Acha amalize nile bata.
 
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.

Yani ni shida kubwa sana mimi ilinibidi kwanza niishie high school ili usomeshe wadogo zako mpaka anaekufuata, uwajengee wazazi sehemu nzuri ya kuishi uendelee ku support familia yote. Nilikuwa kurudi kuanza undergraduate after 10 years, and mind you utaishia kuvuna lawama tu hakuna ambae atakushukuuru
 
First borns are automatically deputy parents ukiwa mzaliwa wa kwanza yani wewe unakua ni mzazi mwandamizi . This is Africa, ndo tunaishi kwenye hizo falsafa.
Hivi unajua maana ya neno mwandamizi? Mwandamizi maana yake mkongwe, mzoefu.

Deputy parent ni makamu mzazi.
 
Mimi 1 st born wa kike hakusoma hana maisha, second born wa kike hakusoma akaolewa na tajiri matokeo yake akawa tahira, third born ke mshua akashindwa mpambania kusoma kawa mzigo home, wa nne wa kiume anafanya mambo yake
 
Mimi 1 st born wa kike hakusoma hana maisha, second born wa kike hakusoma akaolewa na tajiri matokeo yake akawa tahira, third born ke mshua akashindwa mpambania kusoma kawa mzigo home, wa nne wa kiume anafanya mambo yake
Utaahira ulitumika kama busta?
 
weeh unapiga!! Me siwezi,nina dogo huyu ni wakiume pekee afu ni kamwisho,asee dogo jeuri,kiburi,hakatumiki kila kitu kanasema siwezi,
Kupiga siwezi,nikimpiga mtoto vile akilia roho inaniuma,huwa najutia kupiga.
Yani itatia huruma sana ila ndo ivyo bila fimbo heshima haipo kabisa,
 
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.
Asante.. TUNAITWA MAKAMU WAZAZI
 
Yani first born akazingua Mara nyingi Wazazi wanapata msongo wa mawazo. Maana kiafrika first born Ni Kama mzazi wakitoka baba na mama yeye ndo anakabidhiwa majukumu.
First Born ni kama mzazi ..nimejifunza kitu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom