Kuwa first born sometimes ni shida

Kuwa first born sometimes ni shida

Hongera kama wazazi wameweza kukutegemea japo kipato hakitoshi. Ni vita kubwa ya kiroho wamepambana nawe pia umepambana bila kujijua maybe hadi wewe umefika hapo.

Kuna wazazi wengi watoto zao wa kwanza hawawezi hata kuwategemea kwa ushauri maana mshale wa dira upo kusini badala ya kaskazini yaani kama ni dish la kiroho lilishaaguka kabisa no chanel.

Maan mtoto wa kwanza ni vuno bora linalotafutwa na Muumba pamoja na ibirisi. Wote hao wanakuwinda wachukue hesabu yako kwako.. Ibilisi anapiga kichwa cha familia/first born ili familia iivurugike na Mungu anataka akiongeze kichwa cha familia ili familia isipalanganyike. Kama mzazi au mzaliwa wa kwanza usipojitambua utaishia kubaya.

Hongera sana kwa hilo maana tambua kwamba Mafanikio yako si ajili yako bali kwa ajili ya wae walio nyuma yako. Siku moja kidogo hicho kitaongezeka usivunjike moyo

Tembea na kanuni hii... Family- Duty- and Honor

Family always come first
Kuna mada uliileta humu kumhusu 1 st born
 
weeh unapiga!! Me siwezi,nina dogo huyu ni wakiume pekee afu ni kamwisho,asee dogo jeuri,kiburi,hakatumiki kila kitu kanasema siwezi,
Kupiga siwezi,nikimpiga mtoto vile akilia roho inaniuma,huwa najutia kupiga.
Na ukimuacha una mharibu huyo bora akuchukie saiz ila atakupenda baadae
 
Vipi kwa wale unakuta mtoto ni first born na baba ni first Born..
Kila mmojaa unakuta yupo na misimamo yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom