Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Kuzuia uchaguzi ni pamoja na kuiba kura, kutoa rushwa na kuvunja mchakato wa kupatikana wagombea ndani ya chama na kuvunja katiba ya chama.
Kuzuia uchaguzi sio kusema unataka mabadiliko au maboresho ya kiuchaguzi bali ni kile kitendo cha wizi, rushwa na uvunjifu wa katiba ya nchi na chama, kwani unakuwa unaiba unaondoa uchaguzi na kujiweka wewe badala ya kuacha wananchi wachague wamtakaye.
Huku ndiko ni kuzia uchaguzi usifanyike, je hali ya sasa inakupa picha gani ?
Kuzuia uchaguzi sio kusema unataka mabadiliko au maboresho ya kiuchaguzi bali ni kile kitendo cha wizi, rushwa na uvunjifu wa katiba ya nchi na chama, kwani unakuwa unaiba unaondoa uchaguzi na kujiweka wewe badala ya kuacha wananchi wachague wamtakaye.
Huku ndiko ni kuzia uchaguzi usifanyike, je hali ya sasa inakupa picha gani ?