Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,181
- 11,606
Na hasa nguo za ndani mfano chupi, bra, boxer, vests. Wanao kuwa jirani nawe wanapata tabu sana kwa uzito wa fukuto la hewa nzito ya kiutu uzima, isiyostahimilika kutoka maeneo mbalimbali ya mwili wako, huku ukiwa umechomekea mwenyewe. 🐒
Kumbuka mwili una hema, na vilevile mwili unapumua. Dah, ndugu yangu una kijasho kina kuchemka na kinapumua si mchezo 🐒
Kugusana ni kero zaidi, miili ina nata mno. Ni hatari kwa Afya ya ngozi.
kuchukua Tahadhari binafsi ni muhimu sana.
Na sasa kuna wale wa kukandamizia na Pafyumu ati kuficha chafu au harufu za jasho au ya mavazi yao ya jana, ndio wanaharibu zaidi. harufu ya uvundo na jasho mchanganyo wa la jana na leo plus Pafyumu, inakua kali zaidi na ya kipekee mno.
Jitahidi kua msafi wa kinywa, sehemu zote za mwili na mavazi katika kipindi hiki cha joto na fukuto kali, ili kuepuka kua kero na usumbufu kwa wengine, hususani kwenye makusanyiko na misongamano ya watu wengi, mathalani kwenye daladala, kwenye nyumba za ibada, maombi na maombezi, michezoni, mazishini na harusini n.k, harufu mbaya ni kali eti...
Imarisha unadhifu wako kwa usafi wa mwili na usafi wa mavazi katika kipindi hiki cha jojotDar.
Aidha nawapa pole kwa joto kali sana, linalokosesha wengi kua nadhifu, sina hakika kama limepungua kwa sasa🐒
Kumbuka mwili una hema, na vilevile mwili unapumua. Dah, ndugu yangu una kijasho kina kuchemka na kinapumua si mchezo 🐒
Kugusana ni kero zaidi, miili ina nata mno. Ni hatari kwa Afya ya ngozi.
kuchukua Tahadhari binafsi ni muhimu sana.
Na sasa kuna wale wa kukandamizia na Pafyumu ati kuficha chafu au harufu za jasho au ya mavazi yao ya jana, ndio wanaharibu zaidi. harufu ya uvundo na jasho mchanganyo wa la jana na leo plus Pafyumu, inakua kali zaidi na ya kipekee mno.
Jitahidi kua msafi wa kinywa, sehemu zote za mwili na mavazi katika kipindi hiki cha joto na fukuto kali, ili kuepuka kua kero na usumbufu kwa wengine, hususani kwenye makusanyiko na misongamano ya watu wengi, mathalani kwenye daladala, kwenye nyumba za ibada, maombi na maombezi, michezoni, mazishini na harusini n.k, harufu mbaya ni kali eti...
Imarisha unadhifu wako kwa usafi wa mwili na usafi wa mavazi katika kipindi hiki cha jojotDar.
Aidha nawapa pole kwa joto kali sana, linalokosesha wengi kua nadhifu, sina hakika kama limepungua kwa sasa🐒