Wakazi wa Dar mtatuua kwa vikwapa kwenye daladala!

nyiokunda

JF-Expert Member
Jun 16, 2015
1,623
831
Nimekuwa natumia usafiri wa basi kwenye shughuli za kujenga nchi yetu, lakini abiria kwenye mabasi wananuka sana hapa Dar es Salaam angalau wa Posta makumbusho labda kutokana na kazi zao.

Kwa mimi ninayetokea njia ya Mbagala ni hatari labda nature ya kazi za watu wa huku. Sasa nimeamua kuvaa barakoa kuepuka harufu kali, mtu asubuhi tu nguo inanuka.

Kwa msaada watu waache kurudia kuvaa nguo walizovaa jana yake kutokana na joto, wawe na nguo za kubadilishia kama ni mafundi ya kazi ngumu, na mtu mwenye jasho au kikwapa kikali dawa kubwa ni ndimu.
 
Umeshataja njia ya mbagala, sasa sijui ulitarajia nini mkuu. Bongo hii hii Michael Jackson alivyotua alikuwa anashika pua kwani alikuwa anahisi harufu za ajabu ajabu kuliko alizozea huko states, ni swala la utofauti wa ubora wa maisha ndugu.
 
Nimekuwa natumia usafiri wa basi kwenye shughuli za kujenga nchi yetu, lakini abiria kwenye mabasi wananuka sana hapa Dar es Salaam angalau wa Posta makumbusho labda kutokana na kazi zao.

Kwa mimi ninayetokea njia ya Mbagala ni hatari labda nature ya kazi za watu wa huku. Sasa nimeamua kuvaa barakoa kuepuka harufu kali, mtu asubuhi tu nguo inanuka.

Kwa msaada watu waache kurudia kuvaa nguo walizovaa jana yake kutokana na joto, wawe na nguo za kubadilishia kama ni mafundi ya kazi ngumu, na mtu mwenye jasho au kikwapa kikali dawa kubwa ni ndimu.
Nunua usafiri binafsi.utakuta ni mwanaume unalalamikia harufu jikaze utaliwa kiborger
 
pampas zinawafaa sn watu wa daslam
FB_IMG_1547925837029.jpeg
 
Tafiti zinasema vikwapa ni tiba nzuri sana ya msongo wa mawazo, kisukari, mafua na shinikizo la damu. Kwa hiyo ndugu usiwe na wasiwasi - afya yako itaimarika ukitumia usafiri huo mara kwa mara.
 
Nimekuwa natumia usafiri wa basi kwenye shughuli za kujenga nchi yetu, lakini abiria kwenye mabasi wananuka sana hapa Dar es Salaam angalau wa Posta makumbusho labda kutokana na kazi zao.

Kwa mimi ninayetokea njia ya Mbagala ni hatari labda nature ya kazi za watu wa huku. Sasa nimeamua kuvaa barakoa kuepuka harufu kali, mtu asubuhi tu nguo inanuka.

Kwa msaada watu waache kurudia kuvaa nguo walizovaa jana yake kutokana na joto, wawe na nguo za kubadilishia kama ni mafundi ya kazi ngumu, na mtu mwenye jasho au kikwapa kikali dawa kubwa ni ndimu.


"Wakazi wa Dar Mtatuua" - Kwa mimi ninayetokea njia ya Mbagala"

Wewe ni mkazi wa wapi? Arusha?
 
Dogo ukiwa mwaume sio sifa kunuka jasho kali utakosa madem wazuri na maana kwa ajili ya uchafu na harufu
Aisee nimekuwa dogo wako eeh.))
Mm nanukia ila sina kinyongo na wanaonuka jasho kwani najua kila mtu ana mishe zake.
Mm mstaafu nakula pensheni na kiyoyozi tu jasho hadi niende GYM au Jogging!
 
Back
Top Bottom