kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Upo haswa kwenye uzalendo.
Hebu elezea kidogo
Upo haswa kwenye uzalendo.
ktk uzalendo nimeandika kuwa ni kuenenda ktk haki, hivyo ikiwa nchi yetu inaendeshwa ktk misingi ya kidemokrasia basi ana uhuru wa kukosoa na kuunga mkono lkn vitu hivyo viende ktk misingi ya haki na sheria.Hebu elezea kidogo
Habu elezea connection iko vipiUpo haswa kwenye uzalendo.