Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

labda kaja kivingine kwako
1.Anasema atakuwa na mawaziri 18....ila katiba ya warioba aliikataa ilipoweka limit ya namba ya mawaziri
2..anasema ataongeza uwazi na uwajibikaji wakati akiwa waziri ameratibu uundwaji wa sheria kandamizi za mitandao na sasa habari

january anasema kuunda kile ambacho anakivunja kwa sasa na hatumwamini yaan akiwa rais nchi itatawaliwa kwa usiri na kikandamizi zaidi

leo gharama za simu zimepanda mara dufu
AKIWA BUNGENI HATUKUMSIKIA AKIKEMEA UFISADI kama membe na pinda

hatutaki vijimaneno tunataka kazi ni kazi MAKONGORO

Ni muongo na mnafiki hatu danganyiki yaani ana propose sheria kandamizi kubana habar sasa akiwa rais atakuwa dictator kama idd amin hafai muongo hyo kama ma ccm wenzie
 
Hyu kijana ana dhani anagombea urais wa Yanga nin?kwel cheo cha urais kimekuwa very simple siku hizi utadhani rais wa manzese
 
Narudia tena na tena
Siwezi kukaa kwenye kituo cha bvr kwa saa 24 na siku ya kura kwa saa 12 kwa ajili ya kuipigia kura ccm ni heri siku hiyo isiwepo!!!

Shida ipo hivi .........Unaweza kukaa zaidi ya masaa 24 na bado usipate fursa ya kuandikishwa,hivyo haya masaa 12 yaweza yasiwepo...........:disapointed::disapointed:
 
kichwani ni mweupe pee hamna kitu anawaza tu mambo ya mitandao na huko bumbuli hawajui hata mitandao
 
Alichosema ni kuwa baada ya miaka kumi ndo tutaanza kufaidi c kuanza kutumia gesi hyo maana wawekezaji watakuwa wanarudisha hela yao
 
Labda alimaanisha miaka kumi ya kuiba gesi kwanza. Kisha mabaki baada ya hapo ndo tutumie sisi. Na kama ni baada ya miaka 10 ya nini kutandaza mabomba na kupiga watu wasio na hatia. Lengo na madhumuni akipata huo uraisi miaka yake 10 akiulizwa gesi aseme ahadi yangu ni baada ya miaka 10. Kumbe washa chakachua. Never believe politicians!!! AKILI YA KUAMBIWA changanya na ya kwako.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi Muhongo ndiye anayejua mambo ya gesi,hawa watangaza nia wengine hata taaluma zao hazielewek hata m cubic hazjui sasa atajua ges itachimbwa lini
 
Nilichoona kwa Januari ni kitu cha kawaida kwa mtu yoyote ambaye ana simple exposure ya kuishi na kufuatilia siaza za dunia ya kwanza, Hakuna kipya sema kwa kibongobongo, unaweza sema watu hawajawahi ona at personal level.
Well argument yako pengine ina ukweli maana hata mimi sijawai sikia wanasiasa wakijitokeza kwa stahili aliyokuja nayo bwana Makamba; lakini nimeshakutana na hoja za kimaandishi walau zilizojikita ki-sector more justified kutoka kwa wasomi wa kitanzania kuliko overall argument presented na Makamba kwenye hoja zake.

Having said that siwezi kumuondelea the level of awareness and political depth demonstrated on his speech jamaa ame-cover all the necessary political issues kwa kuzigawa katika sehemu tano: power (utawala bora), state (Amani umoja na usalama wa taifa; jumlisha na usimamizi wa uchumi) mwishowe social life (mapato ya watu na uboreshaji wa huduma za watu).

Na vyote hivyo kavitolea ufafanuzi through Makamba-enomics, how he sees rights through the left-central spectrum in detailed explanations (siwezi kurudia speech yote but its worth noting his core arguments) you know what they say to understand value first you need to understand the worthiness of product huyu jamaa anasoma and he is very well informed the speech showed his depth of perception.

Sasa aina maana nakubaliana na kila alichosema or his ways are not questionable isitoshe mapungufu makubwa ya hotuba there were too many information but lacked clarity on the solution, hakuna cost za sera zake; not convinced with his approach to reduce embezzlement, realistic of his fiscal policies (you can give him the benefit of the doubt kwa sababu ya muda and boring his audience considering there was enough gist).

Kingine kwenye mambo ya usalama huko hayuko strong kabisa unaweza kuona ajajifunza chochote baada ya sakata la mahakama ya kadhi jinsi watu wa dini walivyo anza kutupiana vijembe; sasa hawa tena uwaweke serikarini showed anapwaya pia kwenye philosophy of building society; huko akina Membe wanamzidi.

Is this a bad thing?NO. It actually confirm the fact that, when keeping all factors constant, Tanzania needs to have a president who is below 45 years old and with good enough exposure and forward looking ideas.
That and more importantly wazee wameshindwa kuji- reinvent themselves to social awareness and current issues in politics.

Is January a capable person with what it takes to lead Tanzania? I still do not think so. I have always had a feeling he gets way too much help, and every time he is given an opportunity to stand by himself, he fails.
Help is one thing but also being able to see good advice requires a high level of perception so let's give him that he is capable of making the right decision either independently or with the help of others.

Is he the right person not sure if I am honest the entire youth clique already makes me a bit weary they lack the credibility of the most important factors uncompromising national security issues.

I will pick someone like Zitto over January Makamba any day, kwa sababu Zitto hapewi msaada, anasimama mwenyewe, and 90% of the time he walks the talk.
I only see him as the best trouble shooter than a presidential material he is not eclectic enough on his stances and philosophies to become a good leader: what evidence and persuasion does one need to know a highly socialist state fails to allocate resources appropriately with all the global evidences in existence. I rate Mwigulu above them all provided he is given the right advice he comes across as the most sincere .
 
Ewe mleta mada hii gas unayoiona inaletwa siyo iliyovumbuliwa leo na haina uwingi wa kuweza kusafirishwa nje na kuiletea nchi fedha za kigeni.

Kuvuna Gas kiutajiri ni kweli kabisa si chini ya miaka 10 kuanzia sasa.

Acha kuonge vitu usivyovijua hakuna siasa huku kwenye Gas. ngoja ninyamaze kwa sababu nina comflict of interest na hili eneo
 
Nimemsikiliza Januari Makamba wakati akitangaza nia, amezungumza mambo mengi lakini ameharibu utamu wa hotuba hiyo kwa kusema uongo.

Makamba katika hotuba yake amesema itachukua miaka mingi hata kumi kwa Tanzania kuanza kuvuna gesi na rais ajaye anaweza akaondoka madarakani bado gesi haijaanza kutumika.

Huu ni uongo wa wazi ana pengine inaweza kuwa ni kutojua kwamba tayari gesi imeanza kutumika kwenye maeneo mengi ikiwemo kweye viwanda mbalimbali hususani kwenye jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo mengine kwenye majumba inatumika.

Namshangaa Januari anaposema gesi haitotumika kwa miaka ya karibu, anataka kutuambia hata mioundo mbinu ya gesi iliyojengwa itaanza kufanya kazi baada ya miaka kumi?

Namshauri aache kuzungumzia mambo ambayo hayajui na kama anatamani kuyazungumzia basi angeuliza kwa wataalamu wa masuala ya gesi kabla ya kufungua mdomo kuongea asiyoyajua.

Kwa mujibu wa wizara ya nishati na madini gesi itaanza kutumika miezi michache ijayo na tayari mabomba ya gesi yamekamilika kwa asilimia 90 na hata kiwanda cha DANGOTE kinachojengwa kitatumia gesi hiyo ambapo kiwanda hicho kitaanza uzalishaji mwezi wa nane kwa maana hiyo gesi itaanza kutumika kabla ya kiwanda hicho kuanza uzalishaji,
Waandaaji wa mdahalo wahakikishe hili swali linaulizwa kwa january na Muhongo kwa ajili ya ufafanuzi na hapo ndo mtakapomuona Muhongo ni kichwa na potential. Namuonea sana huruma January pale atakapoonyweshwa na Muhongo uelewa wake kwenye hili suala ni bado sana.
 
Acha kuonge vitu usivyovijua hakuna siasa huku kwenye Gas. ngoja ninyamaze kwa sababu nina comflict of interest na hili eneo

Wewe wacha porojo, kila kitu kiko wazi, na link nimekuwekea. Gas iliyovumbuliwa utaanza production leo uiuze leo?

Hivi ukiwa mlinzi wa mlangoni huko basi, ndiyo unajuwa kila kitu cha Gas?
 
Nimemsikiliza Januari Makamba wakati akitangaza nia, amezungumza mambo mengi lakini ameharibu utamu wa hotuba hiyo kwa kusema uongo.

Makamba katika hotuba yake amesema itachukua miaka mingi hata kumi kwa Tanzania kuanza kuvuna gesi na rais ajaye anaweza akaondoka madarakani bado gesi haijaanza kutumika.

Huu ni uongo wa wazi ana pengine inaweza kuwa ni kutojua kwamba tayari gesi imeanza kutumika kwenye maeneo mengi ikiwemo kweye viwanda mbalimbali hususani kwenye jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo mengine kwenye majumba inatumika.

Namshangaa Januari anaposema gesi haitotumika kwa miaka ya karibu, anataka kutuambia hata mioundo mbinu ya gesi iliyojengwa itaanza kufanya kazi baada ya miaka kumi?

Namshauri aache kuzungumzia mambo ambayo hayajui na kama anatamani kuyazungumzia basi angeuliza kwa wataalamu wa masuala ya gesi kabla ya kufungua mdomo kuongea asiyoyajua.

Kwa mujibu wa wizara ya nishati na madini gesi itaanza kutumika miezi michache ijayo na tayari mabomba ya gesi yamekamilika kwa asilimia 90 na hata kiwanda cha DANGOTE kinachojengwa kitatumia gesi hiyo ambapo kiwanda hicho kitaanza uzalishaji mwezi wa nane kwa maana hiyo gesi itaanza kutumika kabla ya kiwanda hicho kuanza uzalishaji,
Hapo ndo umuhimu wa midahalo unapothibitika kuwepo. Kwenye uchaguzi wa Marekani uliopita wa uraisi Mitty Romney aliziponda sana sera za obama na akasema haziwezekani na haziwezi kuisaidia Marekani,ila ni kwenye mdahalo tu ambapo obama aliweza kuwathibitishia wamarekani ubora na kuwezekana kwa sera zake.
January ameongea vizuri ila kwenyew hili nasema litampa sana credit Muhongo kwenye mdahalo kwa jinsi atakavolielezea na kulithibitisha mbele ya umma wa watanzania.
Kusema ukweli hadi sasa ivi kwa ccm ni only hawa two candidates ndo wameonesha mwanga na uwezo wa kuwa na maono ya kweli na mikakati thabiti ya kutekeleza maono yao.
Ila napenda kukiri kuwa sehemu pekee ambayo Muhongo atamzidi January ni kwenye utendaji na uwezo wa kufuatilia mambo na kusimamia mambo hasa kwa uweredi wa hali ya juu, hapa January anaitaji zaidi ya mda fulani ili kuwathibitishia watanzania.
Kwa kumaliza napenda kuzidi kukiri kuwa ingawa mimi nimnamuunga mkono Muhongo ila kiukweli BILA kUMPENDELEA muhongo ndo mtu ananyeonesha kuwa sahihi kwa mustakabali wa Tanzania tuitakayo. Napenda kukiri pia kuwa kuna maeneo mengi sana hasa kwenye vision na mikakati ya kufikia izo vision hawa wawili Muhongo na January wameonesha kuwa wanakaribiana sana.
 
Hapo ndo umuhimu wa midahalo unapothibitika kuwepo. Kwenye uchaguzi wa Marekani uliopita wa uraisi Mitty Romney aliziponda sana sera za obama na akasema haziwezekani na haziwezi kuisaidia Marekani,ila ni kwenye mdahalo tu ambapo obama aliweza kuwathibitishia wamarekani ubora na kuwezekana kwa sera zake.
January ameongea vizuri ila kwenyew hili nasema litampa sana credit Muhongo kwenye mdahalo kwa jinsi atakavolielezea na kulithibitisha mbele ya umma wa watanzania.
Kusema ukweli hadi sasa ivi kwa ccm ni only hawa two candidates ndo wameonesha mwanga na uwezo wa kuwa na maono ya kweli na mikakati thabiti ya kutekeleza maono yao.
Ila napenda kukiri kuwa sehemu pekee ambayo Muhongo atamzidi January ni kwenye utendaji na uwezo wa kufuatilia mambo na kusimamia mambo hasa kwa uweredi wa hali ya juu, hapa January anaitaji zaidi ya mda fulani ili kuwathibitishia watanzania.
Kwa kumaliza napenda kuzidi kukiri kuwa ingawa mimi nimnamuunga mkono Muhongo ila kiukweli BILA kUMPENDELEA muhongo ndo mtu ananyeonesha kuwa sahihi kwa mustakabali wa Tanzania tuitakayo. Napenda kukiri pia kuwa kuna maeneo mengi sana hasa kwenye vision na mikakati ya kufikia izo vision hawa wawili Muhongo na January wameonesha kuwa wanakaribiana sana.

Muhongo ana Kiburi jeuri na dharau, aende akafanye kazi za taaluma Urais hauhitaji wataalam. Kafieni mbele huko na njaa zenu.

Kikwete ni mchumi na ni Rais je uchumi wetu unapaa?
 
Muhongo ana Kiburi jeuri na dharau, aende akafanye kazi za taaluma Urais hauhitaji wataalam. Kafieni mbele huko na njaa zenu.

Kikwete ni mchumi na ni Rais je uchumi wetu unapaa?
Ana kiburi kipi na dharau zipi??? Na vyote hivo vinakuathiri vipi wewe kama Manzania wa kawaida????
Alafu ndugu yangu tulia kidogo alafu niambie tu hili, Kikwete ni mtaalam wa uchumi au Mchumi???? Ukishindwa hapo jaribu tu kutofautisha Lipumba ambaye ni Prof wa uchumi na Kikwete ni mchumi tu wa kawaida kwenye uelewa wao kuhusu mambo ya uchumi na hata upeo wao kwenye mambo ya uchumi.
kwa kifupi nchi zilizoendelea na zinazofanya kazi vizuri duniani zinatumia vizuri wataalam wao na kuwasikiliza tosha,acha tu kuwapa nafasi kwenye sehemu mbalimbali. Ukiwa na mapenzi mema na nchi yako utaacha chuki,wivu na hivo vitu vingine visivo na msingi na utawaza kuamua mazuri kwa mustakabali wa nchi yako.
 
Back
Top Bottom