Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 5,258
- 10,764
Nachukua Notes...Hawa wanaotamani kuolewa na umri umeenda sio wa kuwaoa
Wengi wanakuwa wametega wanaume tofauti tofauti ili ndoa ikifeli kwa huyu aangukie kwa mwingine
Kwa kifupi hawana upendo wa kweli wako kwa ajili ya ndoa tu
Wanapigwa sana mashine ili kujaribu kumvutia kila mwanamume katika circle yake