Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"

Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Akikuuliza "utaniona lini?" broo we mwambie mwezi ujao, alaf endelea kupiga pumbu.
Akikuuliza tena "utakuja kujitambulisha lini?" mwambie huohuo mwezi ujao, alaf we endelea kupiga pumbu.
Mwezi ujao ukifika akiuuliza "vipi siulisema mwezi huu?" mwambie mishe zimefeli bhana mwezi ujao tena, alaf we endelea kupiga pumbu tuu
 
Wanawake wa siku hizi hawajui kumvutia mwanaume wa matendo yake,wengi wanaamini uzuri ndio kila kitu.

Wengi wanapenda hela na kusahau utu, wengi hawana nidhamu ya hela wanayopewa,wengi hawajui kuitunza hata hela wanayopewa na wengi wana bond na maex, zisizo vunjika ambao hawa kuwapa thamani.

Mvutie mwanaume kwa matendo yako,ubinadamu na utu na kwa kuwa atleast na hofu ya Mungu na siku zote ukitaka kujua tabia ya mwanamke yoyote unayetaka kumuoa, husimbane sana mpe uhuru utakuonyesha tabia zake zote tena ndani ya kipindi kifupi.
Wanawake wa hivi baadaye wanakuja kuwa na majuto sana
 
Kabisa mkuu. Nilishawahi kutana na pisi ya namna hiyo. Nimemzidi kama miaka saba hivi kiumri. Sasa wakati kanaanza chuo, mimi nilikua nimeshamaliza kama miaka miwili nyuma na tayari nipo kazini.

Kakanivutia nikakatongoza kakasema hakapo tayari kua katika mahusiano wakati ule. Kumbe kuna classmate wake alikua anadate nae pale chuoni. Wakashawishiana wakatoka hostel wakaenda kupanga mtaani na kuanza maisha. Uzuri namba zake sikiwahi kufuta. Akawa full time anapost status na kumpost chalii na makopa kopa.

To cut the story short kipindi cha miaka mitatu alichokua chuoni alishatoa mimba za yule msela mbili. Chuo wamemaliza mwaka juzi na kila mmoja karudi kwa wazazi na mapenzi yakaishia hapo.

Jamaa kavuta pisi nyingine kaizalisha. Binti presha ya kuolewa imemjaa, na hivi hana kazi anaunga unga tu. Naona ameanza kunichatisha anataka niingie mkenge nimuoe. Baharia namzoom tu!
Yaani anakuona wa maana hivi sasa, baada ya msela kuachana nae au mkuu ulike-eep intouch nae huyu manzi hadi ndio maana sasa anamani awe na wewe?
 
Hii kitu ni balaa sana,
Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho,

Maswali kama, "hivi utanioa kweli?"/ "baby utanioa lini"/ "Mbona huji kujitambulisha kwetu?"/ Mbona hunitambulishi kwenu?" n.k. Hata kama ulikua kuna mambo unaweka sawa kwanza ili umuoe unaweza kughairi tu.

Kunyimwa penzi kwa kuona kama unamchezea ni jambo la kawaida. Ukipewa basi inabidi ujihazari, usipotegeshewa mimba basi utabambikiwa ilimradi apate cha kukushikilia.

Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.
Anakwambia anamika 24 lakini mgodi una miaka 70 duu
 
Kabisa mkuu. Nilishawahi kutana na pisi ya namna hiyo. Nimemzidi kama miaka saba hivi kiumri. Sasa wakati kanaanza chuo, mimi nilikua nimeshamaliza kama miaka miwili nyuma na tayari nipo kazini.

Kakanivutia nikakatongoza kakasema hakapo tayari kua katika mahusiano wakati ule. Kumbe kuna classmate wake alikua anadate nae pale chuoni. Wakashawishiana wakatoka hostel wakaenda kupanga mtaani na kuanza maisha. Uzuri namba zake sikiwahi kufuta. Akawa full time anapost status na kumpost chalii na makopa kopa.

To cut the story short kipindi cha miaka mitatu alichokua chuoni alishatoa mimba za yule msela mbili. Chuo wamemaliza mwaka juzi na kila mmoja karudi kwa wazazi na mapenzi yakaishia hapo.

Jamaa kavuta pisi nyingine kaizalisha. Binti presha ya kuolewa imemjaa, na hivi hana kazi anaunga unga tu. Naona ameanza kunichatisha anataka niingie mkenge nimuoe. Baharia namzoom tu!
Mpige miti kisha uingie mitini, ndo dawa ya videmu vinavyokataa wanaume.
 
Wanaokua na presha za kuolewa ukichunguza kwa umakini utagundua ni umri umeenda halafu maEx wake karibia wote wameoa au wana familia zinazoeleweka.

Kwahiyo anatamani ndoa ya fasta fasta ili awaringishie mabwana zake na mashosti kua hajachuja ingawa walimuona yupo fungu la kukosa.

Hawa wa namna hii ndio wakishaizoea ndoa wanaanza kujirudisha kwa maEx taratibu kwa chatting za wizi wizi na mwisho wa siku wanarudisha mapenzi katika machaka yao ya zamani. Inakua kama umeoa mke asiyekua wako tu.
Daah!! Mambo ni mengi mnoo mno sana bora niifurahie siku zangu za kuona jua/nuru

Unaoa mke kumbe unaoa kamati ya mapokezi.
 
Nilizani ni mimi tu mzee kitombile nakumbana na hizi hadha za wadada kutaka kuwaoa, kila siku utasikia jamani kito utanitambulisha lini mbona siku zinaenda naona kimya, mara mama angu anataka kuongea na wewe, kama shida ni mahali badi nipo tayari kukuchangia ili mradi unione, mara mimi wazazi hawana shida ni wewe tu.... Mambo ni mengi mda ni mchache tuendelee kuchakata mbususu ili tusisumbue wajukuu zetu uzeeni.
Kwahiyo unataka watumikeee alafu waolewe na nani? au unawatumia ambao wamesha kubuu
 
....Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.
Bora hao wanawake wanatumika balaa kuliko wanaume.
Mwanaume anatumika kiasi kwamba akifika huko ndoani anatema.mate kama mlevi badala ya kuwa mpto mkavu
 
Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"

Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Hapo jiandaee kujibu kesi kil mudaaa...!! Hatarii sanaa yani Age 25+ ukidate nae Maswali ya Ndoa ni kila sikuui kila mudaa...
 
Kabisa mkuu. Nilishawahi kutana na pisi ya namna hiyo. Nimemzidi kama miaka saba hivi kiumri. Sasa wakati kanaanza chuo, mimi nilikua nimeshamaliza kama miaka miwili nyuma na tayari nipo kazini.

Kakanivutia nikakatongoza kakasema hakapo tayari kua katika mahusiano wakati ule. Kumbe kuna classmate wake alikua anadate nae pale chuoni. Wakashawishiana wakatoka hostel wakaenda kupanga mtaani na kuanza maisha. Uzuri namba zake sikiwahi kufuta. Akawa full time anapost status na kumpost chalii na makopa kopa.

To cut the story short kipindi cha miaka mitatu alichokua chuoni alishatoa mimba za yule msela mbili. Chuo wamemaliza mwaka juzi na kila mmoja karudi kwa wazazi na mapenzi yakaishia hapo.

Jamaa kavuta pisi nyingine kaizalisha. Binti presha ya kuolewa imemjaa, na hivi hana kazi anaunga unga tu. Naona ameanza kunichatisha anataka niingie mkenge nimuoe. Baharia namzoom tu!
Inakera na kuuma,pale ambapo msela amemchakata miaka mitatu mizima,wakistarehe,halafu wewe anakuganda umchakate muda mfupi tu,eti umuoe,yaani hata bond inakua haijatengenezwa vizuri kati yenu,ukilinganisha na bond iliyotengenezwa kati yake na mumewe wa chuo,waliyeishi pamoja miaka mitatu wakizagamuana.Hapo kwakweli akifanikiwa kuolewa,lazima amsake ex wake wa chuo,wawe wanakumbushiakumbushia,tena akibahatika akiajiriwa,kipindi cha semina,lazima wawasiliane,wakanyanduane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom