Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Yah nibmwanaume akitaka ndoa haijalish mmekutana mud gani hat kama mna miez miwili anaweza kukuoa tu muda wa kuwa kwenye mahusiano sio kigezo Cha kutokuoa
Yah, Sasa kuna wengine mara ooh mahusiano ya muda mrefu ndiyo yanavunjikaga, ukimuuliza nani kakuambia, anasema ndivyo ilivyo kwakua ukishajua mapungufu ya mwenzako unamuacha ila ukishaingia kwenye ndoa utayavumilia tu.
Hapo nawaza kuna mapungufu ambayo hayavumiliki, sasa ukijichanganya itakuaje?
 
Yah, Sasa kuna wengine mara ooh mahusiano ya muda mrefu ndiyo yanavunjikaga, ukimuuliza nani kakuambia, anasema ndivyo ilivyo kwakua ukishajua mapungufu ya mwenzako unamuacha ila ukishaingia kwenye ndoa utayavumilia tu.
Hapo nawaza kuna mapungufu ambayo hayavumiliki, sasa ukijichanganya itakuaje?
Hamjapendana kilamtu Yuko kwaajili ya kitu Fulani mwanaume kuoa ni kitu kidogo sana akikutana na mwanamke anaempenda hakuna asie na mapungufu shida Huwa wanaumizwa sana na waliowapenda awali pia lakin si sahihi kumuomba mwanaume ndoa Huwa wanasema wenyew ukiona mtu yupo haelewek unaachana nae tu
 
Cha umuhimu wakuu msioe wanawake kwa kuwaonea huruma

Kisa tu anataka umuoe ukaona anakupenda hasa wa wenye kiu ya ndoa na umri umeenda kiaina
Tena unaachana nae kabisa ukiona anataka ndoa na huna nia ya kumpa hilo hitaji. Usitembee na binti wa watu kuanzia ana miaka 27 mpaka 32 halafu unamkimbia kuwa hafai na ukute na mimba ushampa.
 
Akikuuliza "utaniona lini?" broo we mwambie mwezi ujao, alaf endelea kupiga pumbu.
Akikuuliza tena "utakuja kujitambulisha lini?" mwambie huohuo mwezi ujao, alaf we endelea kupiga pumbu.
Mwezi ujao ukifika akiuuliza "vipi siulisema mwezi huu?" mwambie mishe zimefeli bhana mwezi ujao tena, alaf we endelea kupiga pumbu tuu
Unayempiga hizo pumbu bila kujali hitaji lake naye ni binadamu mwenye maumivu na manung'uniko ndani yake, yale manung'uniko hayana madhara kweli?

usikute ndo maana mishe sa nyingine zinafeli katika maisha, mambo hayaendi, kijana anapambana hafanikiwi kumbe kuna moyo wa mtu unavuja damu ukitamka jina lake.

Binafsi naona kama hutaki kumuoa na umemtamani we muombe, akikubali kata hiyo kiu yako kisha mwache aende kutafuta wa kumwoa.
Au unamweka wazi kuwa hakuna ndoa yeye ndo aamue. Unanawa mikono kama pilato kupunguza idadi ya binadamu wanaokulaani na manung'uniko.
 
Hii kitu ni balaa sana,
Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho,

Maswali kama, "hivi utanioa kweli?"/ "baby utanioa lini"/ "Mbona huji kujitambulisha kwetu?"/ Mbona hunitambulishi kwenu?" n.k. Hata kama ulikua kuna mambo unaweka sawa kwanza ili umuoe unaweza kughairi tu.

Kunyimwa penzi kwa kuona kama unamchezea ni jambo la kawaida. Ukipewa basi inabidi ujihazari, usipotegeshewa mimba basi utabambikiwa ilimradi apate cha kukushikilia.

Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.
Kazi ipo
 
Wao walipokuwa wanawapelekesha wavulana enzi wapo vigoli na wanalipa walikuwa wanaona raha sana na waliinjoy game ila now umri umewatupa mkono wanataka waendelee kupelekesha watu.

Sema NO kwa demu anayekupangia maisha kama anaharaka mwambie apite hivi akatafute ndoa ya fasta sio akuingize katika commitment zisizo na kichwa wala miguu wakati sio sehemu ya mipango yako mkaenda kushindwana huko ndani.

Me niwaambie tu vijana. Jamii kwa muda mrefu imetuvalisha ujinga kuwa Ndoa inatufaidisha au ina manufaa kwetu but utafiti nimefanya ndoa ni kitu kizuri sana kama ukikutana na wanawake walioandaliwa kuwa mke wa mtu kwa kutii maelekezo, maagizo, kushika mafunzo, kufuata muongozo, kusimamia utaratibu na kusimama na mwanaume ambaye amekula kiapo kuwa ndie mume wake.

Ila kwa bahati mbaya na huu ni ukweli sote tunajua ni kuwa ndoa kwa sasa zinakwenda mrama sababu hatuna wanawake wenye home trainings wengi wapo Street trained na corporate trained. So huwezi jenga maisha na familia na mwanamke ambaye anatumia zaidi ya masaa 12 nje ya familia akipuyanga mitaani na kuhangaika na dunia, mitaa na makampuni au biashara za watu.

So save you the headache. Ukiona anakupa mashaka usikaze saba ubongo, wewe apply safe mode fasta jenga life lako binafsi. Achana na maisha ya kufosi yatakupa magonjwa.

Wazee wetu walihitaji ndoa sana kwasababu miaka yao si sawa na yetu. Walikuwa ni lazima wale home maana migahawa haikuwapo kama leo, leo kuna migahawa inapika vizuri kuliko chakula cha home.

Kulikuwa hakuna wafanya usafi, madobi, leo hii wapo tena very cheap utafuliwa nguo zako, utasafishiwa nyumba unapoishi kwa hela ndogo sana.

Zamani ukiwa haujaoa by 20 jamii inakuona tatizo na watakutazama kwa jicho la umakini na mashaka kuwa ni mharibifu ila now days wanawake wenyewe ndoa hawataki wanagawa gemu unaweza lala na wanawake tofauti kila wiki kwa mwaka mzima bila kumrudia wa kwanza hadi mwaka unaisha, na ni kwa gharama kidogo au bila gharama kabisa.

So sisi wanaume ndio tunang'ang'ania ndoa kwasasa kitu ambacho kwa miaka hii hakina maslahi kwetu tena kama zamani. Unakwenda kumlazimisha mtu uishi nae , umlipie mahitaji yake, tena aje ajimilikishe mali zako na anakuombea kila siku ufe yeye atawale. Ndio maana maisha yanakuwa mafupi sana kwa wanaume sababu ya kujikumbatisha ujinga.

Kuna maisha kwa mwanaume nje ya hizi ndoa feki za kisasa. Ukiweza kujenga uchumi wako ambao kipato chako kitazidi matumizi yako brother am telling utaona how scammed we are kwenye issue ya ndoa.

Si unakumbuka hata kipindi tukiwa wadogo walituambiaje kuhusu Elimu. Kuwa tukisoma sana na kufaulu, guaranteed tutatoboa Maisha, ni kweli tumetoboa maisha kwa mujibu wa maneno ya wanajamii?

Si unaona tofauti ya kutumia akili na kutumia hofu?

MUNGU anajua kuwa vijana/wanaume ndio tunaipambania ndoa na tunaitaka kwa 100% kinyume na wenzetu, mabinti /wanawake ambao wameamua kuhasi kwa makusudi taasisi hii nyeti na kuishi kwa uhuru halafu wakianza kuchoka wanataka tuwapokee na historia zao za kuruka na wanaume tofauti tofauti wakiwa na majanga kibao.

So tujenge tu mfumo nje ya Ndoa ikija sawa isipokuja usitetereke kuna Maisha nje ya Ndoa young Kings, msiwaze.
 
Haya maswali yaende sambamba na tabia njema inayoshawishi aolewe

Sio anauliza huku mileage imetembea kilometer za kutosha
Sasa mwanaume ulifuata nini kwa huyo binti unayedhani tabia yake sio njema, umri wake umekwenda na amejipanga kuolewa?
Kwani ulilazimishwa kuanzisha naye uhusiano?

Kwa kifupi sana, haijarishi binti ana tabia gani mbaya, amechezewa kiasi gani na umri wake umekwenda, bado yuko sahihi kwa 100% kutamani kuolewa, kujali hatima yake ya kuolewa na kuolewa na mtu anayeeleweka.
 
Natafuta mwanamke wa kuoa. Asiwe na umri zaidi ya miaka 28. Awe Mkristo.
Asiwe na Watoto Zaidi ya mmoja.

Aliye tayari aje PM.
Fala wewe unahitaji mwanamke mwenye mtoto ili ikusaidie nini, kisha unakuja kugongewa baadae unalalamika wanawake sijui nini nini.

Wenzako wanatafuta mitaji na elimu ya kujikomboa kimaisha wewe unatafuta mwanamke mwenye mtoto, yaani unatafuta mke wa mwenzako na bao lake ili wewe ukalee, hebu jipige kifuani sema mimi ni Butu na sistahili kuitwa kidume.

Ndio maana wanawake wanawadharau wanaume sababu ya wajinga wengi kama wewe. Nilikuwa najiuliza kwann mabinti wanapata ujasiri wa kutumia miaka yao ya ubichi yaani 16 hadi 25 kujirusha na kucheza na miili yao wakilala na kila mwanaume mradi afike dau na mbaya zaidi wanaona haitoshi wanazaa kabisa bila ya ndoa. Kisha baadae wanakuwa na matumaini ya kuolewa, wanatoa wapi hizi akili?

Kumbe ni mafala kama wewe ndio wanawapa hizo assurance kuwa watachezea Maisha yao na kujichakaza ila hawatakosa mtu wa kuwaoa maana ninyi mazoba mpo na mtawaoa tena na watoto wao mtachukua.
 
Nikimkuta bikra au yupo below 23 naweza ungana na wewe huyo anajitambua ila kitu 26+ wahuni wamemtumia vya kutosha. Tuna mwezi mmoja tu au miwili toka tufahamiane ila kushinikiza nikajitambulishe kwao na kuhamasisha ndoa kila muda hapo jiandae kupigwa.
Wakati huo wewe unataka umkute binti bado bikra, je na wewe mwanaume ulikuwa bado 'bikra' ?

Sasa umeshagundua binti sio bikra, umri wake umekwenda na yuko focus kutaka umuoe, kwanini umlaumu kwa huo msimamo wake?
 
Wao walipokuwa wanawapelekesha wavulana enzi wapo vigoli na wanalipa walikuwa wanaona raha sana na waliinjoy game ila now umri umewatupa mkono wanataka waendelee kupelekesha watu.

Sema NO kwa demu anayekupangia maisha kama anaharaka mwambie apite hivi akatafute ndoa ya fasta sio akuingize katika commitment zisizo na kichwa wala miguu wakati sio sehemu ya mipango yako mkaenda kushindwana huko ndani.

Me niwaambie tu vijana. Jamii kwa muda mrefu imetuvalisha ujinga kuwa Ndoa inatufaidisha au ina manufaa kwetu but utafiti nimefanya ndoa ni kitu kizuri sana kama ukikutana na wanawake walioandaliwa kuwa mke wa mtu kwa kutii maelekezo, maagizo, kushika mafunzo, kufuata muongozo, kusimamia utaratibu na kusimama na mwanaume ambaye amekula kiapo kuwa ndie mume wake.

Ila kwa bahati mbaya na huu ni ukweli sote tunajua ni kuwa ndoa kwa sasa zinakwenda mrama sababu hatuna wanawake wenye home trainings wengi wapo Street trained na corporate trained. So huwezi jenga maisha na familia na mwanamke ambaye anatumia zaidi ya masaa 12 nje ya familia akipuyanga mitaani na kuhangaika na dunia, mitaa na makampuni au biashara za watu.

So save you the headache. Ukiona anakupa mashaka usikaze saba ubongo, wewe apply safe mode fasta jenga life lako binafsi. Achana na maisha ya kufosi yatakupa magonjwa.

Wazee wetu walihitaji ndoa sana kwasababu miaka yao si sawa na yetu. Walikuwa ni lazima wale home maana migahawa haikuwapo kama leo, leo kuna migahawa inapika vizuri kuliko chakula cha home.

Kulikuwa hakuna wafanya usafi, madobi, leo hii wapo tena very cheap utafuliwa nguo zako, utasafishiwa nyumba unapoishi kwa hela ndogo sana.

Zamani ukiwa haujaoa by 20 jamii inakuona tatizo na watakutazama kwa jicho la umakini na mashaka kuwa ni mharibifu ila now days wanawake wenyewe ndoa hawataki wanagawa gemu unaweza lala na wanawake tofauti kila wiki kwa mwaka mzima bila kumrudia wa kwanza hadi mwaka unaisha, na ni kwa gharama kidogo au bila gharama kabisa.

So sisi wanaume ndio tunang'ang'ania ndoa kwasasa kitu ambacho kwa miaka hii hakina maslahi kwetu tena kama zamani. Unakwenda kumlazimisha mtu uishi nae , umlipie mahitaji yake, tena aje ajimilikishe mali zako na anakuombea kila siku ufe yeye atawale. Ndio maana maisha yanakuwa mafupi sana kwa wanaume sababu ya kujikumbatisha ujinga.

Kuna maisha kwa mwanaume nje ya hizi ndoa feki za kisasa. Ukiweza kujenga uchumi wako ambao kipato chako kitazidi matumizi yako brother am telling utaona how scammed we are kwenye issue ya ndoa.

Si unakumbuka hata kipindi tukiwa wadogo walituambiaje kuhusu Elimu. Kuwa tukisoma sana na kufaulu, guaranteed tutatoboa Maisha, ni kweli tumetoboa maisha kwa mujibu wa maneno ya wanajamii?

Si unaona tofauti ya kutumia akili na kutumia hofu?

MUNGU anajua kuwa vijana/wanaume ndio tunaipambania ndoa na tunaitaka kwa 100% kinyume na wenzetu, mabinti /wanawake ambao wameamua kuhasi kwa makusudi taasisi hii nyeti na kuishi kwa uhuru halafu wakianza kuchoka wanataka tuwapokee na historia zao za kuruka na wanaume tofauti tofauti wakiwa na majanga kibao.

So tujenge tu mfumo nje ya Ndoa ikija sawa isipokuja usitetereke kuna Maisha nje ya Ndoa young Kings, msiwaze.
Nimekuelewa sana humu
 
Dogo sijazama nae bali hiyo binti anaclaim kuwa ana ujauzito wangu. Nilitembea nae maramoja tu, yeye yupo mkoa mwengine tofauti na mimi nilipo na akiwa na shida namsaidia pamoja na kumpa hela za maandalizi ya kujifungua. Nasubiri mtoto azaliwe nikamuone na kama she has been playing me a fool kwa kunibambikia, sitamfanya chochote ila nitakata misaada na kumpotezea mazima
Ulale na demu siku moja mimba iwe yako, mmmmmmhmn?
 
Yah, Sasa kuna wengine mara ooh mahusiano ya muda mrefu ndiyo yanavunjikaga, ukimuuliza nani kakuambia, anasema ndivyo ilivyo kwakua ukishajua mapungufu ya mwenzako unamuacha ila ukishaingia kwenye ndoa utayavumilia tu.
Hapo nawaza kuna mapungufu ambayo hayavumiliki, sasa ukijichanganya itakuaje?
Ni kweli mahusiano yanayokaa muda mrefu huishia kuvunjika kuliko kuzaa ndoa. Ni tafiti zimeonesha hivyo. Waoaji halisi hawanaga longo longo nyingi, kuvuta muda au kupoteza muda ya kusaka kufahamiana huku wakinyandua..

Waoaji halisi huwa wanajipanga wao binafsi kimya kimya, kisha wanapoint binti anayefaa, chap wanapiga michakato rasmi ya kueleweka na kuheshimika na mwisho ndoa tayari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom