Yeccotltd
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 201
- 21
Taratibu za kiusalama zinawekwa sawa kwaajili ya ujio wa mheshimiwa Rais!<br />
<br />
Makandarasi naona wamejitokeza na wengine wanaendelea kuja! Tutawaletea yanayojiri hapa!<br />
<br />
<b> UPDATES:</b><br />
Wajumbe wa mkutano washaanza kuingia ndani ya ukumbi!<br />
<br />
Mambo yanapendeza kwakweli bado mh rais hajafika!<br />
<br />
Ukaguzi ni mkali unavuliwa mpaka mkanda! Naona akina Jasoni Bourne na Kishongo wamechachamaa juu ya usalama wa mh rais!<br />
<br />
Kinachovutia ni kuwa Makandarasi karibu wote wamevaa suti njeusi!!<br />
<br />
<b>More Updates:</b><br />
Mheshimiwa Waziri Magufuli ameswhaingia ukumbini anawasalimia wajumbe<br />
<br />
Mh rais anaingia sasa eneo la tukio wajumbe wamambiwa kuwa watasimama na baada ya rais kukaa kuna wimbo maalum!!<br />
<br />
<font color="#a52a2a"><b> UPDATES day 2!</b></font><br />
<br />
Naaaam ndugu wazalendo tuungana tena katika mkutano wetu wa mwaka wa makandarasi!<br />
Fuatana nasi kujua kila kinachoendelea hapa Mlimani City!
UPDATES day 3!
Naaaaaam mabibi na mabwana tunarejea tena live kutoka Mlimani City ktk mkutano wa makandarasi 2011!
Fuatana nasi kujua yanayojiri hapo, kumbuka leo ni siku ya mwisho ya mkutano huu!
<br />
Makandarasi naona wamejitokeza na wengine wanaendelea kuja! Tutawaletea yanayojiri hapa!<br />
<br />
<b> UPDATES:</b><br />
Wajumbe wa mkutano washaanza kuingia ndani ya ukumbi!<br />
<br />
Mambo yanapendeza kwakweli bado mh rais hajafika!<br />
<br />
Ukaguzi ni mkali unavuliwa mpaka mkanda! Naona akina Jasoni Bourne na Kishongo wamechachamaa juu ya usalama wa mh rais!<br />
<br />
Kinachovutia ni kuwa Makandarasi karibu wote wamevaa suti njeusi!!<br />
<br />
<b>More Updates:</b><br />
Mheshimiwa Waziri Magufuli ameswhaingia ukumbini anawasalimia wajumbe<br />
<br />
Mh rais anaingia sasa eneo la tukio wajumbe wamambiwa kuwa watasimama na baada ya rais kukaa kuna wimbo maalum!!<br />
<br />
<font color="#a52a2a"><b> UPDATES day 2!</b></font><br />
<br />
Naaaam ndugu wazalendo tuungana tena katika mkutano wetu wa mwaka wa makandarasi!<br />
Fuatana nasi kujua kila kinachoendelea hapa Mlimani City!
UPDATES day 3!
Naaaaaam mabibi na mabwana tunarejea tena live kutoka Mlimani City ktk mkutano wa makandarasi 2011!
Fuatana nasi kujua yanayojiri hapo, kumbuka leo ni siku ya mwisho ya mkutano huu!