Kutoka Mlimani City: Mkutano wa Makandarasi Tanzania 2011!

Yeccotltd

JF-Expert Member
Apr 4, 2011
201
21
Taratibu za kiusalama zinawekwa sawa kwaajili ya ujio wa mheshimiwa Rais!<br />
<br />
Makandarasi naona wamejitokeza na wengine wanaendelea kuja! Tutawaletea yanayojiri hapa!<br />
<br />
<b> UPDATES:</b><br />
Wajumbe wa mkutano washaanza kuingia ndani ya ukumbi!<br />
<br />
Mambo yanapendeza kwakweli bado mh rais hajafika!<br />
<br />
Ukaguzi ni mkali unavuliwa mpaka mkanda! Naona akina Jasoni Bourne na Kishongo wamechachamaa juu ya usalama wa mh rais!<br />
<br />
Kinachovutia ni kuwa Makandarasi karibu wote wamevaa suti njeusi!!<br />
<br />
<b>More Updates:</b><br />
Mheshimiwa Waziri Magufuli ameswhaingia ukumbini anawasalimia wajumbe<br />
<br />
Mh rais anaingia sasa eneo la tukio wajumbe wamambiwa kuwa watasimama na baada ya rais kukaa kuna wimbo maalum!!<br />
<br />
<font color="#a52a2a"><b> UPDATES day 2!</b></font><br />
<br />
Naaaam ndugu wazalendo tuungana tena katika mkutano wetu wa mwaka wa makandarasi!<br />
Fuatana nasi kujua kila kinachoendelea hapa Mlimani City!

UPDATES day 3!

Naaaaaam mabibi na mabwana tunarejea tena live kutoka Mlimani City ktk mkutano wa makandarasi 2011!
Fuatana nasi kujua yanayojiri hapo, kumbuka leo ni siku ya mwisho ya mkutano huu!
 
asante mkuu nategemea mtampa mkuu mapendekezo yenu ili kuwaongezea uwezo na wazalendo kusimamia miradi yote mikubwa na si wachina hadi vichochoroni!
 
Hakuna jipya mkutano wa makandarasi,acha wachina waendelee kuconstruct hata wakiharibu km kilwa road wanakubal kurekebisha.wakandarac wa bongo full corrupt kupata zabun wakishapata usanii mtupu.
 
Kinachovutia ni kuwa Makandarasi karibu wote wamevaa suti njeusi!!
 
Mkutano kama huu navyofahamu mie hapa, wakandarasi wenyewe huchanga pesa yao kutoka mfukoni kwa ajili ya kupata nafasi ya kubadilishana mawazo na wenzao. Pamoja na kupata training session za kwenye industry husika zikiwemo updates mbali mbali zinazohusiana na changamoto.

Kifupi ni hayo!! I miss this, tuwakilisheni wakuu mlioko huko nyumbani.
 
midundiko kwenye mkutano wa wadau wa ujenzi na makandarasi ..... duh ..... nilitegemea kutakuwa na mafundi wakionyesha jinsi ya kusuka nondo za reinforcements na kutengeneza formwork za kumwagia zege

Umeongea point, 2009 kulikuwa na makampuni mbali mbali yaliyokuwa yanaonyesha technolojia zao kwenye contruction inductry. Hope hizo ngoma ni sehemu ya sherehe mkuu na hizo sekta zitakuwepo pembeni.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kaimu mkuu wa mkoa wa DSM ameingia anasalimiana na magufuli wanacheeeekaa
 
Hivi huyo rais ndo yule aliyekuwa anagonga na wapiga kura kipindi cha "come pain"? Mbona sasa analindwa hivyo
 
Back
Top Bottom