Kutoka Mlimani City: Mkutano wa Makandarasi Tanzania 2011!

Ngoma ni kwa ajili ya raisi au nazo zipo kwenye ujenzi. Tufanye kazi tuache mapenzi
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Prof Ninatubu Lema: tz tuna raslimali kwanini hazimnufaaishhi mtz?
 
Waziri wa barabara wa Kenya anazungumza! Ameomba kutumia kiingeredhaaa!
 
<br />
<br />
Sio kweli tumelipia 100,000/ tu!
Hata ingekuwa ni shilling 10,000= mimi sitoi, yaani nilipe pesa kuhudhuria mkutano? huu ni upumbavu. Ingekuwa ni Training ningeelewa, ok sasa naomba tupe orodha ya waliohudhuria na waliochangia tuanze kukokotowa mahesabu hapa tuone nchi hii ilivyojaa ufisadi kila eneo.
Kumbe ndio maana na Ruge amepewa shavu na THT yake ili kuhalalisha ulaji! am tired with this country.

Hapa sasa naanza kupata picha inaonekana hata kule kufuturisha watu ikulu alikokuwa anafanya Rais kwa mapenzi mema yawezekana ulikuwa ni mradi wa mtu, msishangae kusikia kwamba futari iliigharimu ikulu billioni 50.
 
Hata ingekuwa ni shilling 10,000= mimi sitoi, yaani nilipe pesa kuhudhuria mkutano? huu ni upumbavu. Ingekuwa ni Training ningeelewa, ok sasa naomba tupe orodha ya waliohudhuria na waliochangia tuanze kukokotowa mahesabu hapa tuone nchi hii ilivyojaa ufisadi kila eneo.<br />
Kumbe ndio maana na Ruge amepewa shavu na THT yake ili kuhalalisha ulaji! am tired with this country.<br />
<br />
Hapa sasa naanza kupata picha inaonekana hata kule kufuturisha watu ikulu alikokuwa anafanya Rais kwa mapenzi mema yawezekana ulikuwa ni mradi wa mtu, msishangae kusikia kwamba futari iliigharimu ikulu billioni 50.
<br />
<br />
Ni makandarasi zaidi ya 3000!!
 
Magufuri anaharibu mkutano! Ameingiza mambo ya chama hapa eti kazi zotee nzuri za makandarasi ni kwaajili ya ccm?
 
<br />
<br />
Ni makandarasi zaidi ya 3000!!
Kumbe ndio maana ma Land cruiser V8 yana soko sana Tanzania!........, kumbe unaweza kuwaingiza king wajinga 300 ukanunuwa hilo gari kwa siku moja tu! du kweli kuna watu wanakula kwa uraini nadhani kazi ngumu kwao ni kunyanyuwa glasi ya bia tu.
 
Makandarasi waliofutwa ni 2800 tangu bodi hii ianzishwe mwaka 1997!
 
Kila nikikokotowa mahesabu machozi yananitoka, kwa uzoefu wangu mkutano huo kuanzia muziki, mc, mapambo, ukumbi, chakula na vinywaji pamoja nahivyo vikundi vya Burudani hauwezi kugharimu zaidi ya shilling millioni 100.
Hizo pesa zote zilizochangwa zinakwenda wapi? come on guys au ndio mnajipendekeza serikalini? mnadhani serikali hii ina muda na wazawa?
 
Magufuli: Tangu inchi ipate uhuru makandarasi hawajawahi kukutana na raisi
 
Back
Top Bottom