Geekunexpect
Member
- May 4, 2016
- 50
- 33
Hayuko serious huyo.Tupo mmoja alikuwa anajiita master.alikuwa balaah.karibia na jengo la yanga kariakoo.sijui yuko wapi siku hizi.De mtatuzi alikuwa anafundisha hesabu anasema yeye Africa nzima hakuna wa kumshibda hesabu
Hakuna 'picha' za haya mnayoyajadili hapa??
