Kutoka Mchikichini: Mudy physics, Side, Mtiga - Nani mkali?

Kutoka Mchikichini: Mudy physics, Side, Mtiga - Nani mkali?

Watu hatujasoma hayo ma tuition yenu , tumepiga msuli yatima na tumetoboa, sometimes ni kuwajaza watu matumbo yao hela za bure

Nunua Review za masomo yako, nunua vitabu pia, piga topic mapema, solve past paper ,necta hukos 1 au 2.

Hao kina mudy wanawalemaza ubongo
 
Watu hatujasoma hayo ma tuition yenu , tumepiga msuli yatima na tumetoboa, sometimes ni kuwajaza watu matumbo yao hela za bure

Nunua Review za masomo yako, nunua vitabu pia, piga topic mapema, solve past paper ,necta hukos 1 au 2.

Hao kina mudy wanawalemaza ubongo
Huna lolote ...
 
anajisifu kukariri review
Hahaah umeona e ,mi watu pumba kma ao kukarikariii nawajua sana maneno mengi t lkn kichwa maji kukariri review t anataka atunywishe sumu cc c mbulula kama yeyee ....

Mimi nimepga tuitions kwa moody na physics nimefanya vzr nimepga mabanda kote kote yeye analeta mambo ya kukariri na pumba zake apa
 
hiyo tuition mhhhh..nlienda siku ya kwanza sikurud tenaaa
We mtoto Wa st marry utaweza wapi mambo ya mchikichini hahahah unaweza kutumbukia kwenye ile mitaro ya maji machagu au kubakwa na teja

Mchikichini inawenyewe na wenye wanajiua na imewatoa

Binafsi mudy haiden na mbuga wamenipa sana msasa
 
tuition...ticha akantongoza siku hiyohiyo..."u r so beautiful jay..napenda kuona hivo vidimpoz vyako ukicheka..u mrefu kama twiga unavotembea unanivutia unajua**"""
mi najibu tu asante huku nimeshika chaki nachora chini.
dada akanipiga mkwara marufuku kukanyaga kule..nkaja gundua ticha ni mwanafunz udsm sijui yuko likizo...walah angenigeuza mke wake yule
Utakuwa ulienda kwa Mandela jamaa alikuwa anapiga udsm enzi zile ana upara hivi anaongea sana
 
Niseme ukweli tuu.. Mie physics yangu yoote o level na A level nimeipiga kwa moody physics sijawah kumuhama kwahyo ntakuwa mnafki kuwajaji wengine..

Jamaa yuko poa saana.. Heshima kubwa kwake..

Mchiki"down
 
Back
Top Bottom