Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,632
Vitoto vya St utavijua tu katika hii threadhiyo tuition mhhhh..nlienda siku ya kwanza sikurud tenaaa
Vitoto vya St utavijua tu katika hii threadhiyo tuition mhhhh..nlienda siku ya kwanza sikurud tenaaa
nimepiga kata..miaka mingi sanaVitoto vya St utavijua tu katika hii thread




kuanzia siku hio sikuwahi kusoma tution tena hadi namaliza alevel........hizo tution kazi kupanikishana tuhukumkuta de mtatuzimath..
Ulienda kwenye mabanda yanapochipukia wakat wa likizotuition...ticha akantongoza siku hiyohiyo..."u r so beautiful jay..napenda kuona hivo vidimpoz vyako ukicheka..u mrefu kama twiga unavotembea unanivutia unajua**"""
mi najibu tu asante huku nimeshika chaki nachora chini.
dada akanipiga mkwara marufuku kukanyaga kule..nkaja gundua ticha ni mwanafunz udsm sijui yuko likizo...walah angenigeuza mke wake yule
Sasa wew na spoon feeding yako ulifata nin kwa MtigaNilienda kwa mtiga siku nzima nilitoka patupu yan ckuambulia cchte....kesho yake nikasinzia kwenye mabench yalekuanzia siku hio sikuwahi kusoma tution tena hadi namaliza alevel........hizo tution kazi kupanikishana tu
Nasikijia jamaa alitiaga one ya 7,aingii class mpaka alewehakuna kichwa kama dr.weinsman thehardest from azaboy mtoto wa magomeni alikuwa noma.sasa hivi sijui yukowapi
atakuwa wa mkoani uyu alikuja Dar likizoVitoto vya St utavijua tu katika hii thread
De mtatuzi alikuwa anafundisha hesabu anasema yeye Africa nzima hakuna wa kumshibda hesabuMTATA DE MTATUZI VIP?
Mm sio wa shule za mboga saba ....lkn kusoma tution ka mazingira yale ni kipajiSasa wew na spoon feeding yako ulifata nin kwa Mtiga
Hii ni kamba mkuu.Shule za kata zilianza kutoa form 4 ya kwanza 2009nimepiga kata..miaka mingi sana
011Hii ni kamba mkuu.Shule za kata zilianza kutoa form 4 ya kwanza 2009
Aisee mpaka leo yani muddy kanifanya kila ninachosoma basi nitafute a real scientific approach of it. Moddy anajua sana kufundisha aisee.. yule jamaa ni a real scientist. Sijapata ona mwalimu kama yule tena.Asee mudy physics alifanya nikawa mchunguzi wa mambo kwa stail ya ufundishaj wake tokea form two enzi hizo kidogo mchikichini ndo ilikuwa shule yangu huku kwingine walimu class walikuwa shallow than they actual are walimu wa voda faster mtiga ni hataree
Ni kweli yaani kama angefikiria kulingana na technolojia ya leo. Basi aweke his lesson clips in youtube. Naamini zitakuja kusaidia watu wengi sana. Yule jamaa ana friendly approach in every difficult concept.Dah hao jamaa wote ni watabe ila Muddy ana mbwembwe flam hiv za kukufanya utamami kurudi kesho
Jamaa ana talent ya hali ya juu ya ufundishaji
Sasa hiyo sio zamani kama ulivyoiita
