Nnavo fahamu ni kua mwaramy alikua akifundisha Pure Maths sasa una mwekaje na kina Muddy ama Mgote wakat apa wana discuss mtabe wa physics??Nimesoma kwa mudy physics from form 1-6 na nilisoma pia kwa mgote baadhi ya topics za form 5 ila bado mudy yupo juu kwa mgote.Kiboko wa wote ni Mwaramsha wa kkoo mtaa wa Tandamti karibu na msikiti wa nadina .Jamaa atakuwa alizaliwa anajua ku solve...naona man ileeeeeee
Eeeeh bhn Moody ni balaaaa,jamaa yuko vizuri kwenye MODERN PHYSICS & ELECTRONICS only
"The time is almost approach to zero,let us end here.Tomorrow we will see how transistor works"

Nani alikuwa anaeleweka sana?Nnavo fahamu ni kua mwaramy alikua akifundisha Pure Maths sasa una mwekaje na kina Muddy ama Mgote wakat apa wana discuss mtabe wa physics??
haaaaa! ulienda kufuata nini kule???hiyo tuition mhhhh..nlienda siku ya kwanza sikurud tenaaa
tuition...ticha akantongoza siku hiyohiyo..."u r so beautiful jay..napenda kuona hivo vidimpoz vyako ukicheka..u mrefu kama twiga unavotembea unanivutia unajua**"""haaaaa! ulienda kufuata nini kule???
dooooh poleee...ni kweli kina step ina kumbukumbu yake...somo gani lilikufungisha safari ya kule??? au geog1 tehe.tuition...ticha akantongoza siku hiyohiyo..."u r so beautiful jay..napenda kuona hivo vidimpoz vyako ukicheka..u mrefu kama twiga unavotembea unanivutia unajua**"""
mi najibu tu asante huku nimeshika chaki nachora chini.
dada akanipiga mkwara marufuku kukanyaga kule..nkaja gundua ticha ni mwanafunz udsm sijui yuko likizo...walah angenigeuza mke wake yule
math..dooooh poleee...ni kweli kina step ina kumbukumbu yake...somo gani lilikufungisha safari ya kule??? au geog1 tehe.