robby klax
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 283
- 122
Mgote bhn
We ndo kundageni nini ?!Hahahahahhh... "They are my friends" muddy





Watoto wa st banacjawahi watumia wote hao na bado ni katoka vizuri...nashukuru walimu wangu washuleni ambao walijitoa kuhakikisha tunafaulu na kweli tulifaulu bila kupita mchikichini....
Ukisoma modern physics kwa Muddy,utaiona mtelezo sana"The time is almost approach to zero,let us end here.Tomorrow we will see how transistor works"
Ukitaka kujua kwenye miti mingi hakuna wajenzimtiga mwisho, nimepata bahati ya kupitia kwa walimu hao wote, mudy physics mkali o-level, side kama unataka notes ila c maelezo ya kina, mtiga kama unataka kujua physics a level kiundan !
mkuu huyu jamaa nampata sana fundi sio kama unavyojua sema busara zake zipo mbali huwa hakawii kutukanana na watu.Mtabe wa wote hao ni Kihombo tu.Mgote yeye amemeza madude tu,Moddy ni flag tu labda Mtiga ndo huwa nasikia ni mkali mkali.
MTATA DE MTATUZI VIP?
Hawa ndio hakina Nani?Hebu niambie, nani mkali wako kati ya hivyo vichwa hapo juu?
Mimi kiupande wangu Mtiga anatisha.