William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
-
- #521
Kila siku anatudanganya kuwa atawakamata na huku akijua either wanauana ama wanafichana!
Kikwete ni FISADI ndugu zangu hilo muweke kichwani!
Halafu hapo kwenye nyekundu ndiyo pabaya zaidi kwasababu anasema eti wakipatikana na makosa!
Makosa mara ngapi?
Uwezo mdogo wa kufikiria tunao sisi wananchi tulio wengi...HOWEVER Kuna wale waliojitokeza kutusemea na kutupa ukweli...Wazalendo wa kweli kama kina DK Slaa!Sasa wasi wasi wa huko kwenye mkutano mimi unanihusu nini? Ishu za CCM ulitaka ziamuliwe wapi? Nyie kwa vipi mimi ninahusika vipi na hiyo mipango na wewe kwani unahusika vipi na chama chochote cha upinzani? Sasa kama huelewi kuwa mafisadi ni wanachama wa CCM tehna basi hapa tunapoteza muda hata kujadili na wew. Yaaani kweli hujui kuwa hawa viongozi mafisadi ni wanachama wa CCM, na kwamba CCM kama chama kina hali ya kuwajadili na kuwapa adahabu kama chama chao, yaani hii simple politics nayo inakupa shida kuielewa? Halafu bila hata ya aibu unakuja kutema sumu zako hapa as if una hoja nzito?
Sasa naomba unisaidie kuelewa mkuu, kuto-kuback off kwako naufisadi wa Kikwete, mimi kunanihusu nini? What do I have to with it? Angekuwa baba yangu ningekuelewa sasa mimi huu msimamo wako unanihusu nini?
Hapa ndio unaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri au kuelewa siasa na information, kwa hiyo ulitaka nisema kuwa the dataz ni kwamba rais ameamua kuwarudihsa kazini kina Lowaasa na wengine wote waliojiuzulu hivi karibuni?
Mkuu wacha huu umaaarufu wa cheap, tafuta hoja nzito, kama maneno yako haya ni kweli basi Rostam asingetoka kwenye uweka hazina wa CCM, Mama meghji asingetoka uwaziri wa pesa, Lowassa angekuwa bado PM, Msabaha bado angekuwa waziri, karamagi abdo angekuwa waziri, in the future jaribu kuwa na balance na unachokataa na kukubali, halafu sema ukweli wa pande zote mbili, so far inaoenkana hata huelewi kinachoendelea kabisaa mkuu!
Kikwete ni FISADI!
Na anafurahishwa na kazi yako hapa!
Hata hivyo tell him kuna huyo Jmushi...
Hata kama ni watu wawili hapa JF wenye kuamini JK ni fisadi wana data za madai yao! Halafu wewe unataka kumsafisha kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi yetu hapa JF!
Nimeanzisha thread ya KIKWETE NI FISADI!
Mushi mimi sio Kikwete maana unaonekana kuchanganya ishus hapa!
Uwezo mdogo wa kufikiria tunao sisi wananchi tulio wengi...HOWEVER Kuna wale waliojitokeza kutusemea na kutupa ukweli...Wazalendo wa kweli kama kina DK Slaa!
God willing....WE WILL EVENTUALLY EMERGE THE VICTORS!
Sasa wasi wasi wa huko kwenye mkutano mimi unanihusu nini? Ishu za CCM ulitaka ziamuliwe wapi? Nyie kwa vipi mimi ninahusika vipi na hiyo mipango na wewe kwani unahusika vipi na chama chochote cha upinzani? Sasa kama huelewi kuwa mafisadi ni wanachama wa CCM tehna basi hapa tunapoteza muda hata kujadili na wew. Yaaani kweli hujui kuwa hawa viongozi mafisadi ni wanachama wa CCM, na kwamba CCM kama chama kina hali ya kuwajadili na kuwapa adahabu kama chama chao, yaani hii simple politics nayo inakupa shida kuielewa? Halafu bila hata ya aibu unakuja kutema sumu zako hapa as if una hoja nzito?
Sasa naomba unisaidie kuelewa mkuu, kuto-kuback off kwako naufisadi wa Kikwete, mimi kunanihusu nini? What do I have to with it? Angekuwa baba yangu ningekuelewa sasa mimi huu msimamo wako unanihusu nini?
Hapa ndio unaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri au kuelewa siasa na information, kwa hiyo ulitaka nisema kuwa the dataz ni kwamba rais ameamua kuwarudihsa kazini kina Lowaasa na wengine wote waliojiuzulu hivi karibuni?
Mkuu wacha huu umaaarufu wa cheap, tafuta hoja nzito, kama maneno yako haya ni kweli basi Rostam asingetoka kwenye uweka hazina wa CCM, Mama meghji asingetoka uwaziri wa pesa, Lowassa angekuwa bado PM, Msabaha bado angekuwa waziri, karamagi abdo angekuwa waziri, in the future jaribu kuwa na balance na unachokataa na kukubali, halafu sema ukweli wa pande zote mbili, so far inaoenkana hata huelewi kinachoendelea kabisaa mkuu!
MKUU FEMS TUMESHAWAPA THE ULTIMATUM...Mje na solutions na si mbwembwe za maneno ya kuwaondoa wananchi kutoka kwenye mjadala wa Taifa!
Hayo mambo yenu ya CCM yanamsaidia nani?
Tunataka watu wakamatwe Kwanini eti wakamatwe mara baada ya kuvuliwa uanachama? Ina maana ukiwa ndani ya CCM wewe ni mtakatifu hata ufanye nini?
Si walikuwa wakitetewa na viongozi wakuu wa chama kama Kikwete mwenyewe na Makamba? asa ufisadi toka lini ukamalizwa na mafisadi?NB:Umeshasahau alipowaambia wasijali kuitwa mafisadi?
Alipokataa Ballali asiletwe?
Kijana mdogo Mushi, huo ukweli Dr. Slaa anautoa wapi? Anautoa mbinguni? Si lazima aashirikiane na baadhi ya viongozi wa CCM wenye nia njema na taifa, mbona huelewi kitu kabisaa mkuu kuhusu siasa ya nchi yako mwenyewe?
Haya ndio maneno ya kutafuta umaarufu wa cheap kijana, unahitaji kujifunza sana siasa maanaunaonekana bado huelewi tena mabo madogo madogo sana, kwamba hata huko bungeni Dr. Slaa anashirikiana na baadhi wa wabunge wenye nia njema na taifa kutoka CCM, mimi ni mwanachama wa CCM na I am proud to be one, na sijawahi kuficha hapa, sasa Mushi kama unataka hii forum iwe ya upinzani tu wewe ni kusema tu, lakini hilo hutafanikiwa hata siku moja hapa tunakutana wananchi wote wenye nia njema na taifa, licha ya uchama,
Msimamo wako ni wako hauwezi kuwa wangu kwa kul;azimsihwa niandike unayotaka wewe, huo ni ujuha mkuu, na mimi siwezi kukulazimisha kuadnika ninavyotaka mimi, jaribu kujifunza namna ya kujibana kwenye forum na wenye mawazo tofauti na yako mkuu!
Usizungushe mambo....CCM NI MAFISADI NA KIKWETE PIA...Sasa umaarufu hapo wa nini?Hizo ultimum mbona unaonelkana wewe ndio unahitaji ili kuwa kichwa safi, maana unaoenakan huelewi unachosema, mimi ni CCM lakini huwezi kunilazimsiha nifikiri kama wewe, maana mawazo yako haya-fit kwenye upinzani kabisa wewe uko taifa klingine kabisaa mkuu sio bongo, wewe unaweza kunipa mimi ultimum ya nini?
Haya maneno yako ulipaswa kuyasema huko kwenye mkutano Dodoma, sio hapa JF ambako hakuna hata kiongozi mmoja aliyehusika na maamuzi yao, kwa hiyo mkuu hapa huna hoja kabisaa!
Haya maneno yako ya ushallow unayarusha to the wrong person, ulipaswa kuyapeleka Dodoma, ndio maana ninasema kuwa unataka umaarufu wa cheap hapa JF, huna hoja na hasira zako unazilenga kwa the wrong person, zipoeleke Dodoma mkuu!
Mbona unashupalia sana issue ya umaarufu? Pumba zangu zitanipatia vipi umaarufu?
Hatutaki huo ushirikiano kama walioutoa kina Zitto na kwenda kwenye kamati kulipwa mishahara!
CCM ni mafisadi na mwenyekiti wao KIKWETE NDIO RING LEADER!
Hawa wabunge wa CCM wachague moja maji yeshamwagika!
Waweke mambo wazi na waamuwe kuwa uoande wa wazalendo na kuwakamata hao Mfisadi na kama inavyoonyesha hawawezi kwasababu ya mgawanyiko...Hivyo dawa ni uchaguzi huu unaokuja wa 2010...JK NI FISADI PAMOJA NA CCM YAKE...UPINZANI HAUJAJA BADO NA AGENDA MADHUBUTI...Wanyumba mno na MABILIONI YA DOLLARS ZA CCM zinaweza kuwa zimewanasa wengi!
CCM NI BIG NO!
Usizungushe mambo....CCM NI MAFISADI NA KIKWETE PIA...Sasa umaarufu hapo wa nini?
Hivi unachanganya vipi ujuha na ukuu?Hapa ndio unazidi kuonyesha ujuha wako mkuu, sasa haya maneno yako yananihusu vipi? Mkuu are you okay kweli? Mimi haya maneno yananihusu vipi?
Hata hivyo, alisema chama hicho kimeweza kuidhibiti hali hiyo, sasa kinajipanga upya ili kurejesha imani ya wananchi kwa chama hicho, tayari kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Chiligati alisema kuwa kikao hicho kimekubaliana kuwa wanachama wote ambao watabainika kuhusika katika kashfa za Richmond na EPA, wachukuliwe hatua stahiki, ikiwamo ya kufukuzwa kwenye chama na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Alisema kinachosubiriwa hivi sasa ni ripoti ya utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya Bunge kuhusiana na sakata la Richmond, ambayo imefanyiwa kazi na timu maalumu iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Hivi unachanganya vipi ujuha na ukuu?
Unafikiri maneno yako machafu yananitisha?
Umaarufu maarufu...Yani wewe shida yako ni kupenda UBABE na kutake charge kimabavumabavu na intimidation!
Mi sikujui na sina haja ya kukujua!
Nina uwezo wa kutemblea thred zote ulizoanzisha pamoja na postings zako zote ili kujua kama una mdudu kichwani ama la!
Ukiona watu wanafurahia habari..Mambo ni safi!
Ikikosoliewa...Basi wewe ni dume la nyani!
jmushi1 JF Senior Expert Member Join Date: Thu Nov 2007
Is our president corrupt?
CCM yayumba na Mwandishi Wetu, Dodoma
Quote:
HALI ya mambo si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Kapteni John Chiligati, alikiri kuwa ufisadi umekiyumbisha chama hicho.
Wakati Chiligati akikiri hivyo, tofauti za wazi na za moja kwa moja baina ya makada mahiri wa chama hicho nazo zimeanza kujionyesha dhahiri, huku baadhi ya wanachama wakimpinga wazi wazi Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba, na kutaka aondolewe katika wadhifa huo.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao maalumu kilichowakutanisha wabunge na wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho, Chiligati alikiri kuyumba kwa CCM katika siku za hivi karibuni kutokana na kashfa kadhaa.
Alisema kashfa zilizokiyumbisha chama hicho ni pamoja na ile inayohusiana na mchakato wa kandarasi ya kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond.
Aliitaja kashfa nyingine kuwa ni ile ya wizi wa mabilioni ya fedha kutoka katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA) na Benki Kuu (BoT).
Chiligati alikiri kuwa, kikao kilichofanyika jana kilibaini kuwa kashfa hizo, na nyingine kadhaa, zimepunguza kwa kiasi kikubwa imani ya wananchi juu wa chama hicho.
Alisema kilichokitikisa chama hicho ni kuhusishwa kwa viongozi kadhaa na makada wa chama hicho, ambao walikuwa pia viongozi wa serikali.
Hata hivyo, alisema chama hicho kimeweza kuidhibiti hali hiyo, sasa kinajipanga upya ili kurejesha imani ya wananchi kwa chama hicho, tayari kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Chiligati alisema kuwa kikao hicho kimekubaliana kuwa wanachama wote ambao watabainika kuhusika katika kashfa za Richmond na EPA, wachukuliwe hatua stahiki, ikiwamo ya kufukuzwa kwenye chama na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Alisema kinachosubiriwa hivi sasa ni ripoti ya utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya Bunge kuhusiana na sakata la Richmond, ambayo imefanyiwa kazi na timu maalumu iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Alisema pia kuwa chama hicho kinasubiri ripoti itakayotolewa na timu iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete, kuchunguza sakata la EPA, kabla ya kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuhusika.
Kama ilivyo kwenye mchezo wa mpira, kunakuwa na matukio mengi, hivi sasa tupo kwenye half time (kipindi cha mapumziko) lakini tupo kwenye mwelekeo mzuri, alisema Chiligati.
Hata hivyo, alipotakiwa kuwataja wanachama ambao wapo hatarini kufukuzwa, Chiligati alikataa kufanya hivyo, kwa maelezo kuwa taarifa kamili juu ya suala hilo itatolewa baada ya kukamilika kwa mchakato wa uchunguzi unaoendelea kuhusiana na masuala hayo mawili.
Sakata la Kampuni ya kufua umeme ya Richmond, lililochunguzwa na kamati teule ya Bunge iliyoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe (Kyela-CCM), ndilo lililosababisha kujiuzulu kwa aliyewahi kuwa waziri mkuu, Edward Lowassa na kusababisha kuvunjika kwa Baraza la Mawaziri Februari mwaka huu.
Aidha, pamoja na Lowassa, ripoti ya kamati hiyo ilisababisha pia aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi na waziri wa Afrika Mashairki, Dk. Ibrahim Msabaha, nao kujiuzulu baada ya kutajwa kuhusika kwa namna moja au nyingine na mchakato wa kuipatia kampuni hiyo kandarasi katika mazingira ya kutatanisha.
Akimzungumzia Lowassa, baada ya kuulizwa na waandishi kuwa ni mmoja wa viongozi walio hatarini kufukuzwa, Chiligati alisema kuwa hata katika ripoti hiyo hakumuona akiwa anahusika moja kwa moja, na ndiyo maana ilipendekeza yeye mwenyewe apime uzito wa suala hilo na kuchukua hatua zinazofaa.
Alisema wengi walioonekana kuhusika moja kwa moja na Richmond ni wasaidizi wa aliyekuwa waziri mkuu huyo, ingawa yeye mwenyewe aliamua kujiuzulu kutokana na kuwajibika kwa makosa yaliyofanywa na watu aliokuwa anapaswa kusimamia utendaji wao.
Chiligati alisema kuwa wajumbe wa NEC waliwamwagia sifa viongozi kadhaa walioachia ngazi kutokana na kashfa, kwani kitendo hicho kimekipa heshima chama hicho.
Kwa upande mwingine, habari kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa baadhi ya wajumbe walikuja juu, na wakaeleza wazi wazi kutokuwa na imani na Makamba, na kupendekeza aondolewe kwenye wadhifa huo mara moja.
Wajumbe hao walisema kuwa Makamba amekuwa mbabe mno katika utendaji wake na wakati mwingine anatumia lugha ambazo zinakigawa zaidi chama kuliko kukijenga.
Walisema hali hiyo inahatarisha umoja wa chama na ukichanganya na hali ya kisiasa nchini hivi sasa, kuna hatari chama hicho kikapata wakati mgumu kurejesha imani ya wananchi juu yake.
Walitaka aondolewe kwenye nafasi hiyo wakidai kuwa, licha ya kuwagawa wanachama ndani ya chama, kauli za Makamba wakati mwingine zinafanya kazi ya kukisafisha chama kilichochafuliwa kwa tuhuma za ufisadi kuwa ngumu.
Inadaiwa kuwa kikao hicho ni matunda ya mbinyo wa baadhi ya wabunge, ambao walifikisha ujumbe kwa mwenyekiti wao, Rais Jakaya Kikwete, wakiomba kuitishwa kwa kikao kitakachojadili masuala mazito yanayokikabili chama hivi sasa, lakini yamekuwa yakipigwa danadana.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho, zilieleza kuwa baadhi ya makada walijitoa wazi wazi kueleza kusikitishwa kwao na jinsi ambavyo baadhi ya watuhumiwa wamekuwa wakilindwa ndani ya chama.
Wabunge hao, ambao kwa sasa hatutayataja majina yao, walieleza kuwa uamuzi wa kuendelea kuwakingia kifua wanachama hao wenye kashfa, ambao baadhi yao walishaondolewa au kujiondoa kutoka serikalini, unakichafua chama hicho na kukipa wakati mgumu kutetea masuala yake kwa wananchi, wakati huu ambapo vita dhidi ya ufisadi imegeuka kuwa ajenda ya kila mtu nchini.
Taarifa zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kuwa mikakati ya wabunge hao ilianza juzi, ambapo waliomba kikao hicho kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete, na kumfikishia Makamba ajenda kadhaa.
Mbili kati ya ajenda hizo zilikuwa zinamgusa Makamba. Ajenda moja inadaiwa kumgusa moja kwa moja, kwa kuwa ilikuwa inataka aondolewe kwenye wadhifa huo kutokana na tuhuma kadhaa ambazo kwa sababu hatujazithibitisha hatuwezi kuzitaja kwa sasa.
Aidha, ajenda nyingine ilihusiana na kujadiliwa, kwa lengo la kufukuzwa kutoka katika chama, wanachama wote ambao katika siku za hivi karibuni wamekuwa wakitazamwa na jamii kwa jicho lisilopendeza, kutokana na tuhuma za ufisadi dhidi yao.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza zaidi kuwa yaliibuka mabishano makali kutokana na mjadala wa hoja ya Richmond, (1)baada ya Lowassa kusimama na kujitetea kuwa alishatoa ushauri mara mbili mkataba huo uvunjwe lakini alikataliwa.
Baada ya mabishano makali, inadaiwa kuwa (2)Rais Kikwete alilazimika kusimama na kutoa ufafanuzi na kueleza kuwa Lowassa alikuwa na nafasi ya kutoa maelezo na kutojiuzulu nafasi yake, lakini mwenye aliona kujiuzulu ndio uamuzi wa busara.
Kikwete aliwaonya wajumbe kuwa makini wanapojadili suala la giza na umeme na kuwataka iwapo wanataka kufahamu madhara ya kukosa umeme na kuwa gizani, wawaulize watu kutoka Zanzibar. Alipotoa kauli hiyo, karibu wajumbe wote wa NEC kutoka Zanzibar walisimama, ingawa haikuweza kufahamika mara moja hatua hiyo ililenga nini. (3)Mjadala huo ulizua pande mbili zinazopingana, ikiwamo kambi inayowatetea kina Lowassa na viongozi wengine waliolazimika kujiuzulu kutokana na kashfa hiyo, na kambi nyingine ikitaka wachukuliwe hatua kali zaidi kwa kukichafua chama kutokana na kuhusika kwao kwenye kashfa hizo.
Nakupata..Lakini this is just another roller coaster ride...
Huko kwenye huo mkutano kwa ajili ya Taifa letu kumeshaonyesha wasiwasi mkubwa sana tu!
Mnataka hizi issue za Taifa ziamuliwe uko kwenye vikao vya CCM?
Nyie ndio mna mpango wa kuirudishia CCM umaarufu?
Nasema hivi Mkuu....I will never back off the core of all these issues....KIKWETE NI FISADI!
Na kwahiyo wewe kussugest kuwa atajikamata yeye mwenyewe ama atakiangusha chama chake kilichoiba hizo pesa za EPA na kuzitumia kwenye ushindi wake wa TSUNAMI...Then una lako jambo na i swear to GOD ALUTA CONTINUA!