Mkuu Mtanzania,
.........2. I do not care what, Chenge to me is a thug na wenziwe wote, ni wahuni tena ni vibaka wasiokuwa na class kabisa kama bin-adam wengine wote, ...............!
3. Taifa letu linakuwaje na viongozi wapuuzi kama Chenge? Tunakuwaje na viongozi wajinga wajinga kama Lowassa? ..............................I mean it a shame huyu alenda Europe kukagua hizo machine, alienda Malasyia na Kolimba, lakini walipotaka kwenda Houston kukagua ofisi na machine za Richimond kama sheria za serikali na jamhuri yetu inavyosema, na kutaka Msabaha kwa makusudi mazima ya ufisadi akawakataza kwenda huko huku akiwashambulia kuwa wanapenda sana safari ili wale hela za wananchi huku hakuna cha maana wanachokifanya, akitamba kwamba yeye anaijua sana Richmond ni kampuni safi hawahitaji kwenda huko, sasa najiuliza kwa nini hakuwazuia kwenda ile miji mingine? Na kwa nini aliwazuia kwenda Houston ambako ndio makao makuu ya Richmond? Na ilikuwaje Hosea akawasafisha kundi zima la Richimonduli!
.......................dawa ni kuwakamata na kuwalazimisha wao na familia zao walipie risasi za kuwatwanga mbele ya public, tena ikiwezekana pale Sanamu Monument, yes piga risasi tu, kwa sababu look what they are doing to us now? ...............................
Yaani hapa FMES ukanifurahisha zaidi uliposema
..........Halafu kumbuka kuwa akiwa Mwanasheria mkuu ameshiriki kwenye kuwafunga wananchi wangapi wasiokuwa na makosa kisheria, ingekuwa nchi za majuu sasa hivi kungekuwa na kesi kibao na lawsuits against serikali yetu kwa sababu ya Chenge, kwamba hana intelligent judgement au uwezo wa kutosha kufikiri kama binadam kamili, kwa hiyo wote alioshiriki kuwafunga kisheria wanahitaki kuachiwa, na mikataba yote iliyosainiwa china yake akiwa Mwanasheria mkuu itenguliwe mara moja!
Binafsi, sioni siasa ya chama hapa, ninachooona ni taifa kwanza hapa kuna wabunge am,bao wamepania na wako intact, ..........
aidha kuhusu wahusika sijui kama wameshachukuliwa hatua au bado wako mitaani wakitafuta jengine jipya ,tukumbuke tu hawa wengine walisikika kutoka kwenye vyombo vya habari kuwa watafanya juu chini na wao kuondoka na watu ,hili wa kulaumiwa ni Mh.Kikwete na hata haya yanayotokea Bungeni Mh.Kikwete anahusika moja kwa moja kwa kuwaachia wahuni hawa kutembea kifua mbele na sasa wanakuja maungoni hata hawaoni haya maana si kweli kuwa mhusika hatambui kama kuna security camera zinafanya kazi lakini kiburi ndicho kilichompa nguvu na kudharau Serikali nzima , kwamba hata zikimchukua hawatakuwa na cha kumfanya zaidi ya makelele ya siku mbili tatu ,mtu huyu alitakiwa akamatwe mara tu baada ya kumaliza ushirikina wake na kupata usimgizi katika vituo vya Polisi pale Dodoma.
Je mlioko Dodoma huyu mtu ametiwa nguvuni au hakuna wa kumkamata maana si ajabu ukaambiwa hakuna ushahidi.
Uhaini mtupu!
".....Muongo na Mulozi ni watu wa kuchomwa......" by Franco Luambo Makiadi & OK-Jazz
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!
Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...
Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..
Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0
Umesiliba vizuri nilitaka kumjibu,palipo na maslahi ya taifa unazi na ushabiki woote uwekwe nyuma.sasa hivi nchi hii inakoelea tutakuja kuzipiga kama majirani zetu tusipokuwa macho
Ingelikuwa sumu wala hili jambo lisingeishia hapo na kufikia sasa ukumbi ungelikuwa umefungwa.
Watanzania tumezidi uoga yaani kusikia kuna uchawi, watu wanaharisha, wengine wanapata stroke, wengine wanakataa kuingia bungeni. Mimi naamini hapa suala ni hiyo bahati mbaya ya Chenge au uchawi. Ingelikuwa sumu wala hili jambo lisingeishia hapo na kufikia sasa ukumbi ungelikuwa umefungwa.
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!
Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...
Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..
Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0
Quote:- Kasheshe
Habari ambazo tumezipata kutoka kwenye TBC1; ambazo Katibu Mwenezi wa CCM ameonyeswa amezielezea ni kwamba... hilo jambop limejadiliwa kwenye kikao cha NEC. hata hivyo Katibu huyo mwenezi amesema... wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!
Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...
Kwa maana hiyo basi ni jambo la kawaida kutafuta kiti... unalazimika kupitia kwenye safu mbalimbali na kuangalia kiti au sehemu ambayo ni muafaka kwako..
Kwa hili inaonyesha dataz za JF zimefungwa 3-0
Posted Date::6/13/2008
Mbunge anaswa akifanya tambiko bungeni Dodoma
*Alisindikizwa na kigogo wa Bunge
*Spika akiri kupokea taarifa hizo
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Mwananchi
MBUNGE na Afisa mmoja Mwandamizi wa Bunge wamekutwa ndani ya Ukumbi wa Bunge wakifanya vitu vinavyodhaniwa kuwa ni vya kishirikina. Taarifa zilizopatikana mwanzoni mwa wiki hii na kuthibitishwa na ofisi za Bunge, inadaiwa mbunge huyo alifanya tambiko hilo Jumatatu, kabla ya mkutano wa Bunge la Bajeti kuanza Jumanne wiki hii. Shuhuda aliieleza Mwananchi kwamba, mbunge huyo aliingia kwenye ukumbi huo akiwa ameongozana na katibu mmoja wa bunge (jina tunalo) na kuanza kupita kila kiti cha mbunge na hatimaye aliishia kiti cha Spika.
Aliongeza kuwa, watu hao wakiwa wamefuatana walikuwa wakipita kila kiti huku mbunge huyo akinyunyiza vitu vinavyohisiwa kuwa dawa za kienyeji katika viti vya wabunge. "Alipofika kwenye kiti cha Spika, alisimama muda mrefu akiwa ananyunyizia vitu fulani, lakini sikujua ni nini na wao waliamini kamera zote zilikuwa zimefungwa," alidai shuhuda huyo. Shuhuda huyo alidai kuwa, mbunge huyo na mtumishi wa bunge walifanya shughuli yao bila kufahamu iwapo walikuwa wakionekana, bila kujua kuwa kulikuwa kuna watu wanafanya majaribio ya kunasa sauti na picha za ukumbini.
"Walianza kwa kusimama nje kwa muda mrefu wakiwa na wabunge wengine, baada ya wabunge kuondoka, mbunge huyo alibaki na katibu na kuingia ukumbini na kuanza kufanya kazi zao," alidai. Alipoulizwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta, iwapo ana taarifa hizo jana, alisema amezipata na kueleza kushangazwa kwake iwapo bado kuna watu wanaoamini mambo ya ushirikina.
"Taarifa ninazo ila siamini, isipokuwa inashangaza kuona kama bado kuna watu wanaamini mambo hayo kwenye dunia ya leo," alisema Sitta. Sitta alisema baada ya kupata taarifa hizo, Katibu wa Bunge ameanzisha uchunguzi wa suala hilo. Hata hivyo alisema ushirikina hauwezi kusimama badala ya ukweli na haki.
Na maelezo ni kwamba huyo Mbunge ambaye sasa anatoka viti vya mbele vile vya mawaziri... na sasa anatakiwa kupatiwa kiti kingine kule back bencha alikuwa akipitishwa na wahudumu wa ofisi za bunge kuonyeshwa kwenye kikao hiki akae kiti gani...
wanasubiria vyombo vya usalama viseme what happened... maana ndivyo vyenye authority!
Haya ukweli umeshafahamika!MUNGU ni mkubwa!Jamani watanzania tufanyeni kazi na tuache mambo ya uzushi yasiyo na evidence hiki ni kipindi cha sayansi na tekinologia bwana,la sivyo hatutaenda mbele!maneno mengi hayatatufikisha popote!
Habari ndo hiyo!
Haya ukweli umeshafahamika!MUNGU ni mkubwa!Jamani watanzania tufanyeni kazi na tuache mambo ya uzushi yasiyo na evidence hiki ni kipindi cha sayansi na tekinologia bwana,la sivyo hatutaenda mbele!maneno mengi hayatatufikisha popote!
Habari ndo hiyo!
Hollo
Kashikwaje pabaya!mmeshaambiwa kilikuwa kinatafutwa kiti!Hapa dawa ni kuachana na haya mambo na kuendelea kuchapa kazi!haya wewe evidence zako zipo wapi?zaidi ya maneno?Masikini ya Mungu, tizama wanavyojichanganya wenyewe, mara wamejadili, mara mbunge alikuwa anhama, mara wanasubiri taarifa ya polisi ya uchunguzi, wallahi ameshikwa mtu pabaya hapa!