Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Dah, watu ni wabaya mmefukunyua mafaili hadi ya zamani. Usiombe kugombana na mwandishi wa habari za kiuchunguzi atakuchunguza hata umekula nini. Mkuu mautingo umeingia choo cha kike kwa Kubenea cc Lizaboni
Huyu jamaa jina lake la utotoni ni Daud paul bashite, lkn miaka ile ya 2000 akiwa chuoni wanachuo wenzake walipenda kumuita jina la baba yake yaani paul, sasa kw vile kulikuwa na akina paul wengi pale chuo walitofautishwa kwa makabila yao,
Kwa hiyo huyu tunaemuongelea hapa aliitwa paul makonde.sasa baada ya chuo akalipotezea hili jana makonde na kujiita paul makonda
(tango poli)
Usitufanye wajinga, vyeti vya shule na kuzaliwa viliandikwa daudi bashite, alafu kirahisi tu unajibalisha Jina?!Huyu jamaa jina lake la utotoni ni Daud paul bashite, lkn miaka ile ya 2000 akiwa chuoni wanachuo wenzake walipenda kumuita jina la baba yake yaani paul, sasa kw vile kulikuwa na akina paul wengi pale chuo walitofautishwa kwa makabila yao,
Kwa hiyo huyu tunaemuongelea hapa aliitwa paul makonde.sasa baada ya chuo akalipotezea hili jana makonde na kujiita paul makonda
(tango poli)
Utetezi wa kiumbavu huu! hapa tunajadili mtu kubadili majina wewe unakuja na mitakataka yako! ----- wewe!Mbona hata Kubenea mwaka 1995 alikuwa anaitwa Sarah? Iko simple like that, kutype kitu roho inataka ni rahisi sana!
Alafu nimemsikia mbunge wa Ubungo EATV, jamaa ni kilaza, yaani hoja zake nyepesi sana, yaani msingi wake wa hoja ni mimi ni mpinzani, serikali ikienda kulia mimo naenda kushoto, haijalishi ni zuri au baya!
Kwa ufupi, inaingia mara mia kwa Mnyika! Anasema yeye hapendi unafki? Kweli? Mwanahalisi na Lowassa!
Eti yeye ni mkweli? Kweli?
Ni nunda! Ubungo mmepata kilaza.
Mbona hata Kubenea mwaka 1995 alikuwa anaitwa Sarah? Iko simple like that, kutype kitu roho inataka ni rahisi sana!
Alafu nimemsikia mbunge wa Ubungo EATV, jamaa ni kilaza, yaani hoja zake nyepesi sana, yaani msingi wake wa hoja ni mimi ni mpinzani, serikali ikienda kulia mimo naenda kushoto, haijalishi ni zuri au baya!
Kwa ufupi, inaingia mara mia kwa Mnyika! Anasema yeye hapendi unafki? Kweli? Mwanahalisi na Lowassa!
Eti yeye ni mkweli? Kweli?
Ni nunda! Ubungo mmepata kilaza.
me ntafurahi sana hii issue iki-raise-wa
kweli wewe jingaMengine majungu tu na kutaka kumkandia mtu, kwani kubadilisha jina kuna ajabu gani? yeye kaamua kubadilisha wewe unaona nongwa kwani jina lako lake punguza ujinga.