Kutoka Daudi Bashite mpaka Paul Makonda

Kutoka Daudi Bashite mpaka Paul Makonda

Mbona hata Kubenea mwaka 1995 alikuwa anaitwa Sarah? Iko simple like that, kutype kitu roho inataka ni rahisi sana!
Alafu nimemsikia mbunge wa Ubungo EATV, jamaa ni kilaza, yaani hoja zake nyepesi sana, yaani msingi wake wa hoja ni mimi ni mpinzani, serikali ikienda kulia mimo naenda kushoto, haijalishi ni zuri au baya!

Kwa ufupi, inaingia mara mia kwa Mnyika! Anasema yeye hapendi unafki? Kweli? Mwanahalisi na Lowassa!
Eti yeye ni mkweli? Kweli?

Ni nunda! Ubungo mmepata kilaza.
 
Duh, mimi siasa sitaki kwani najua nikiingia huko mademu niliowachutua ni wengi hawahesabiki kikumbukumbu, wataniletea habari za kishenzi huko whatsup and the like.
 
Huyu jamaa jina lake la utotoni ni Daud paul bashite, lkn miaka ile ya 2000 akiwa chuoni wanachuo wenzake walipenda kumuita jina la baba yake yaani paul, sasa kw vile kulikuwa na akina paul wengi pale chuo walitofautishwa kwa makabila yao,
Kwa hiyo huyu tunaemuongelea hapa aliitwa paul makonde.sasa baada ya chuo akalipotezea hili jana makonde na kujiita paul makonda
(tango poli)
 
Huyu jamaa jina lake la utotoni ni Daud paul bashite, lkn miaka ile ya 2000 akiwa chuoni wanachuo wenzake walipenda kumuita jina la baba yake yaani paul, sasa kw vile kulikuwa na akina paul wengi pale chuo walitofautishwa kwa makabila yao,
Kwa hiyo huyu tunaemuongelea hapa aliitwa paul makonde.sasa baada ya chuo akalipotezea hili jana makonde na kujiita paul makonda
(tango poli)

:what: wew jamaa ni imebid nicheke xn 😀😀😀😀
 
Huyu jamaa jina lake la utotoni ni Daud paul bashite, lkn miaka ile ya 2000 akiwa chuoni wanachuo wenzake walipenda kumuita jina la baba yake yaani paul, sasa kw vile kulikuwa na akina paul wengi pale chuo walitofautishwa kwa makabila yao,
Kwa hiyo huyu tunaemuongelea hapa aliitwa paul makonde.sasa baada ya chuo akalipotezea hili jana makonde na kujiita paul makonda
(tango poli)
Hilo kweli tango mwitu! Yana miiba yale!
 
Barafuyamoto acha utoto tunafuatilia tujue kujiita makonda uhalali wake hapa kuna mchezo Wa vyeti feki

Weka hivyo vyeti hapa tuvione, na tuhakikishieni kuwa ni vya kweli sio vimetengenezwa, hizi siasa za maji taka peleka huko ufipa.
 
Walioko mwanza mitaa ya igoma wanamengi ndio alipozaliwa makonda hapo mitaa ya juu igoma
 
Walioko mwanza mitaa ya igoma wanamengi ndio alipozaliwa makonda hapo mitaa ya juu igoma

Kama kweli kitanukia aise. ANY waliosoma naye kuanzia primary ndio watadhibitisha. Kabla ya Ushirika alisoma shule zipi?
 
Back
Top Bottom