mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 638
Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Fafanua zaidi weka na vyeti vyake