Swordsman
Senior Member
- Nov 9, 2016
- 142
- 336
Na ndio habari hizi mliziibua tena juzi kuziendeleza sababu mwanzoni mlishindwa.
Uongo mtupu umewajaaa, baada ya Madawa mkajaribu tena na kugonga mwamba.
Makonda oyeeeee
We dada angu hivi ni ushabiki au? Maana hii ishu ilikua hot kitambo sana since 2015 wewe bado unadhan ni ishu ya drugs, i pity you maana hutaki kuukubali ukweli. Kwan anakupa nn mpk uupe kisogo ukweli?
Swala la vyeti kachemka, sasaiv kaamua kujificha kwny kivuli cha drugs ili wachache kama wewe waendelee kuamin kuwa anaonewa kwenye swala la vyeti.
Ww hujiulizi kwanini hakubali wala kukanusha jina la Daud Albert Bashite..?
Hii post ya kuhusu jina lake ipo hapa mwaka mmoja kabla hata ya drugs issue enzi hizo bado ni DC wa kinondoni afu wewe bado unaona anaonewa kwann lakin hutaki kushirikisha ubongo wako? Au ndo unakamilisha maneno ya kinabii kwamba:- wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii....?