Kina bashite mko na Kamusi ya Tuki au oxford?Hiyo topic haina mshiko si tupo na vingereza bungeni
Ukweli ni upi wewe ???Na ndio habari hizi mliziibua tena juzi kuziendeleza sababu mwanzoni mlishindwa.
Uongo mtupu umewajaaa, baada ya Madawa mkajaribu tena na kugonga mwamba.
Makonda oyeeeee
Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Kwani huna Dada ambaye hajaolewa au alushaachika ?HILI JINA DAUDI BASHITE
JE HILI NI MIONGONI MWA MAJINA YA WATANZANIA KWELI NAPATA MASHAKA SANA, SIO MKIMBIZI HUYU.
TAFITINI HILI JINA ""BASHITE""
ii
Aliliona hadi leo hana hata proof moja ha ha haaaaa
Ndio hawa hawa walimuanzia na wivu alipoanza kupata vyeo
Makonda oyeeeee
Soma vizuri uzi umeanza lini....iko hapa tangu 2015?Hiyo topic haina mshiko si tupo na vingereza bungeni
Daud Bashite, Paul Makonda, Mkuu wa wilaya, Mkuu wa mkoa sasa hivi ni first,,,,,,,,,,Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Pamoja na juhudi zote za kumpaka matope wauza unga mmemshindwa Makonda. Sasa unapoendeleza issue bashite,bashite,unatuboa !!Huyu bwana DC wa Kinondoni miaka ya 2000 enzi hizo aliitwa Daudi Bashite. Lakini ajabu alipojiunga na Chuo cha Ushiriki akaanza kuitwa Paul Makonda.Sifahamu kivipi anaitwa Makonda leo hii
Hivi CCM mlizaliwa na mama mmoja,wote mnakurupuka kuanzia juu mpaka chiniPamoja na juhudi zote za kumpaka matope wauza unga mmemshindwa Makonda. Sasa unapoendeleza issue bashite,bashite,unatuboa !!
Pamoja na juhudi zote za kumpaka matope wauza unga mmemshindwa Makonda. Sasa unapoendeleza issue bashite,bashite,unatuboa !!
Daah haya mambo yapo muda kumbeNa yule mwandishi wa habari wa radio ya kijamii huko tabora anaitwa paul makonda,au ndo aliyeibiwa nomino lake
Wewe wamjua zaidPrimary Koromije Misungwi Mwanza