Upumzike kwa amani Dada Regia, ni vigumu kuamini hili lililotokea ila maisha yetu wanadamu ni kama maua huchanua na kusinyaa kisha kuanguka baada ya muda.Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.Amen.
Regia kwa nn umetuacha mapema hivi dada yetu? Hakika umetuachia pigo mujalabu wanachadema na watz...we will miss you regia! Especially here in JF!
Pumzika kwa amani dada regia!
"Wema hawana maisha" Mungu ailaze roho ya Dada yetu,kamanda wetu,mtetezi wetu.Mungu amlaze mahala pema peponi,nimeumia sana ila sina uwezo wa kumludisha tena duniani,Kazi yake Mora haina makosa.
Mbona nimeshindwa kuamini nilichosoma; so soon!! Ulikuwa active sana katika mambo mbali mbali ya kijamii kiasi kuwa umetuachia pengo kubwa sana sisi wafuasi wako.
Hata hivyo, kazi ya Mungu haina makosa.
Tangulia kwa amani, na ninakuombea kwa aliyekuita akupumzishe mahala pema peponi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.